Nunua Airtel Mordem kwa mawakala wao kisha plug and play, fuata maelekezo rahisi na utapata nafasi ya kujiachia na hewa safi ya kutosha! Siyo kama ule mtandao wa kubanana kwenye bettle na kuvizia mawimbi juu ya miti hasa inaposfika saa 11 jioni! Karibu sana AIRTEL!
Mm naulizia hii ya kutumia cm ndugu!
hiki kifurushi maana ake ni cha siku moja?
hiki kifurushi maana ake ni cha siku moja?
kama bado haujajiunga nenda sehemu ya sms tuma neno WAP kwenda 123 kisha fuata maelekezo utakayo rudishiwa
Si sahihi
Watu bwana...sasa kama si sahihi, toa basi njia iliyo sahihi!!! Arrrrggghhh!