Airtel internet

Airtel internet

Hardman

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2011
Posts
750
Reaction score
526
Aisee kwa muda mrefu nilikuwa naiaminia internet speed ya airtel..lakini kwa hizi siku za karibuni...kasi ya airtel ni ndogo mno...kama konokono....kufungua kapage kadogo dogo tu kapdf kanaloooodi...mumeshatuboa airtel..mjipange upya...mbaya zaidi umenunua kifurushi cha 1gb..then kasi ndo hio...

BTW am looking for the alternative to airtel..wadau ushauri wenu
 
Inategemea na wewe; kama hela unayo na unataka mtandao wenye kasi ya ajabu chagua Tigo 4g, kama unataka value for money na kasi inayokaribiana na airtel ya zamani chagua Halotel.
 
yan airtel sku hiz cjui wamepatwa na nn,,na mm naachana na line yao soon
 
Hili suala ni kweli, sijawahi kutumia mtandao mwingine wowote kununua bundle zaidi ya Airtel ila mimi ni shahidi pia kuwa imekuwa slow tofauti ma mwanzoni.
 
Inategemea na wewe; kama hela unayo na unataka mtandao wenye kasi ya ajabu chagua Tigo 4g, kama unataka value for money na kasi inayokaribiana na airtel ya zamani chagua Halotel.

Tigo 4g wanauzaga line pekee bila modern au kile ki router?
 
Tigo 4g wanauzaga line pekee bila modern au kile ki router?
Unaweza kwenda kuchukua line tu, bei yake sijui maana walinibadilishia bure ukitaka modem wanazi uza 60,000 na unapata 30gb bure kwa miezi 3..

Pitia hapa uangalie kama eneo lako limefikiwa na 4g
4G LTE
 
Back
Top Bottom