Airtel intanet

washairejesha wewe anza tu kutumia kuanzia saa tano usiku kuangalia mb za bure zako piga *102*6#
 
Tekenya
inakuwa imeshaungwa t automatic kaka mida ya saa tano
 
Tekenya
inakuwa imeshaungwa t automatic kaka mida ya saa tano
Aksante , ngoja nikalale ili niiamkie badae kaka, so ni kila siku au ukimaliza MB zako basi? maana naona nimeangalia salio wanasema nina mb 200 n2mie kuanzia saa 5usiku mpaka saa 12 asubuhi. je hata kama huna salio hata kidogo watakuunganisha? na je kama bando bado lipo hawakati kwenye bando mda huo?
 
Ukimaliza mb ndo hadi kesho yake bwana tekenya ha ha ha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom