BARIADI-KWETU
Senior Member
- Dec 30, 2013
- 173
- 38
Nilikuwa na Dharura, nikahtaji Nitoe Vijisenti Vyangu Toka Akaunt yangu aitelmoney, nili-dial fasta *150*60# na Nika-opt kuwithdraw hela, Nilipoingiza Namba yangu ya Siri ambayo ndo huwa natumia Miaka yote, Jamaa Wakasema It is Wrong, nikafanya Kwa Mara Ya pili nikaambiwa Wrong, mara ya 3 nikaambiwa,wrong na kufungiwa juu. Ikabdi nitumie akili nyingine.
Nikapiga Customer care wakasema pasword yangu ili expire pia hata za wateja wengine sio mimi tu, wakasema nicreate newpaswad isyoanza na 0,1 au 2 pia namba zfuatane, nikitumia 1234 as default, Niliawamaind sana watafanyaje changes bila wateja kuwa informed kwa sms au direct call? Kama wanaweza kutuma sms za JISHNDIE TIKET KWENDA OLD TRAFORD, na kama wanaweza kutupigia kutuhamasisha kujiunga na ringtones callback tunes, kama wanaweza kutupigia kutuambia kuhusu Bundles Balances Wanashindwa nini kututaarifu wateja kuwa Mteja Paswed unayotumia ime-expire Badilisha, Ina Naana Kwenda OLD TRAFORD ni Sensitive mno kuliko Habari za akaunti za Mteja? Mpaka wavizimie mtu anashida anatoa hela ndo wadelive ujumbe tena kwa tishio la kumfungia akaunti yake? Akaunt wanadai ikifungiwa u have to wait 24 hours lakini nilkaa mpaka siku 4 hiki ni nini?
Haya baada ya kuwa unblocked nilitengeneza Paswed Mpya inayokidhi Masharti leo tena Wakati nataka kutoa Hela ili nitoke kula ka mwaka Mpya Na Ubavu wangu, tukiwa tumevaa tayari nimeagiza naTEKSI nikijua ka-Laki kangu ka1 kalikomo Airtel Money kataniweka mjini, Kwenda Kwa wakala kujaribu Kutoa kwa ktumia paswed yangu mpya ambayo awali niliitumia kama mara 4, leo tena imegoma na Hapa nimefungiwa Napiga Customer Care hawapokei na Sikukuu imeishia Hapa Wakuu Ni Aibu
HUU U.S.E.N.G.E AIRTEL MONEY UMEANZA LINI? JE NYIE HUKO PIA MNAPITIA HAYA MASWAIBU? KUNA SHEMEJI YANGU NAE KAFUNGIWA JANA.
Nikapiga Customer care wakasema pasword yangu ili expire pia hata za wateja wengine sio mimi tu, wakasema nicreate newpaswad isyoanza na 0,1 au 2 pia namba zfuatane, nikitumia 1234 as default, Niliawamaind sana watafanyaje changes bila wateja kuwa informed kwa sms au direct call? Kama wanaweza kutuma sms za JISHNDIE TIKET KWENDA OLD TRAFORD, na kama wanaweza kutupigia kutuhamasisha kujiunga na ringtones callback tunes, kama wanaweza kutupigia kutuambia kuhusu Bundles Balances Wanashindwa nini kututaarifu wateja kuwa Mteja Paswed unayotumia ime-expire Badilisha, Ina Naana Kwenda OLD TRAFORD ni Sensitive mno kuliko Habari za akaunti za Mteja? Mpaka wavizimie mtu anashida anatoa hela ndo wadelive ujumbe tena kwa tishio la kumfungia akaunti yake? Akaunt wanadai ikifungiwa u have to wait 24 hours lakini nilkaa mpaka siku 4 hiki ni nini?
Haya baada ya kuwa unblocked nilitengeneza Paswed Mpya inayokidhi Masharti leo tena Wakati nataka kutoa Hela ili nitoke kula ka mwaka Mpya Na Ubavu wangu, tukiwa tumevaa tayari nimeagiza naTEKSI nikijua ka-Laki kangu ka1 kalikomo Airtel Money kataniweka mjini, Kwenda Kwa wakala kujaribu Kutoa kwa ktumia paswed yangu mpya ambayo awali niliitumia kama mara 4, leo tena imegoma na Hapa nimefungiwa Napiga Customer Care hawapokei na Sikukuu imeishia Hapa Wakuu Ni Aibu
HUU U.S.E.N.G.E AIRTEL MONEY UMEANZA LINI? JE NYIE HUKO PIA MNAPITIA HAYA MASWAIBU? KUNA SHEMEJI YANGU NAE KAFUNGIWA JANA.