Airtel huawei e173 modem

Airtel huawei e173 modem

BobKinguti

JF-Expert Member
Joined
Mar 18, 2011
Posts
228
Reaction score
87
-Wakuu habari zenu? Tafadhali naomba msaada, nime-install huawei e173(airtel) kwenye pc yangu(window 7 ultimate) vizuri kabisa na modem inakua detected, dashboard ya airtel vilevile inaisoma modem na network inakamata vizuri kabisa. Niki connect to the internet, dashboard inakubali kuconnect lakini chini ya pc kulia pembeni ukiangalia network and sharing centre, inasenma NO INTERNET ACCESS, na kweli ukijaribu kubrowse hakuna page yoyote inayofunguka.

-Nimejaribu kuhaingaika kwa kila namna bado sijaelewa tatizo nini? Nimeweke line nyingine kwenye modem bado tatizo lipo pale pale. Tafadhali kwa mwenye kujua namna ya ku-solve tatizo hili anisaidie.
 
-Wakuu habari zenu? Tafadhali naomba msaada, nime-install huawei e173(airtel) kwenye pc yangu(window 7 ultimate) vizuri kabisa na modem inakua detected, dashboard ya airtel vilevile inaisoma modem na network inakamata vizuri kabisa. Niki connect to the internet, dashboard inakubali kuconnect lakini chini ya pc kulia pembeni ukiangalia network and sharing centre, inasenma NO INTERNET ACCESS, na kweli ukijaribu kubrowse hakuna page yoyote inayofunguka.

-Nimejaribu kuhaingaika kwa kila namna bado sijaelewa tatizo nini? Nimeweke line nyingine kwenye modem bado tatizo lipo pale pale. Tafadhali kwa mwenye kujua namna ya ku-solve tatizo hili anisaidie.


tatizo hilo limesha nikuta na lilikuwa ni la mtandao wenyewe network inakuwepo lakini inaandika no internet access jaribu ku move hiyo sehemu jaribu eneo jengine jibu utalipata
 
tatizo hilo limesha nikuta na lilikuwa ni la mtandao wenyewe network inakuwepo lakini inaandika no internet access jaribu ku move hiyo sehemu jaribu eneo jengine jibu utalipata

Nimekupata. Nitajaribu.
 
Hatimaye tatizo limeisha. Nadhani ilikua temporary error, kwakua sina nilichofanya zaidi ya kujaribu tena ku-connect then ikakubali. Shukrani wote waliotoa ushauri pamoja na wewe uliyetenga muda wa kusoma post hii.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom