Kontelo
JF-Expert Member
- Aug 16, 2013
- 571
- 161
Habari zenu wakuu.
Hivi Airtel Tanzania kile kitengo cha Huduma kwa Wateja huwa kuna watu wanaohudumia kweli au mmeamua kutusumbua na shilingi 60 zetu kutuchukulia. Inashangaza kuona mnachaji hela kwaajili ya kuhudumiwa kwenye kitengo cha msaada lkn badala yake mnaishia kutuwekea nyimbo na simu inakaa mpk dakika 15 bila kupokelewa mpk unaamua kukata.
Kwanini hambadiliki na mambo yenu ya kizamani badala ya kuangalia muundo nadhifu wa kuwahudumia watu na kutoa huduma zenye tija.
Tatizo lililonifanya nipige simu Huduma kwa wateja ni kupokea sms ya aina moja kila mda, ukimuuliza mtumaji sms umetuma mara ngapi anasema mara moja lkn cha ajabu kila baada ya dakika 5 unapokea sms ya aina ile ile.
Airtel naomba mshuulikie tatizo langu ipasavyo nimechoka kero ya kupokea sms moja kila mda.
Namba yangu ya simu ni 0684 908097
Hivi Airtel Tanzania kile kitengo cha Huduma kwa Wateja huwa kuna watu wanaohudumia kweli au mmeamua kutusumbua na shilingi 60 zetu kutuchukulia. Inashangaza kuona mnachaji hela kwaajili ya kuhudumiwa kwenye kitengo cha msaada lkn badala yake mnaishia kutuwekea nyimbo na simu inakaa mpk dakika 15 bila kupokelewa mpk unaamua kukata.
Kwanini hambadiliki na mambo yenu ya kizamani badala ya kuangalia muundo nadhifu wa kuwahudumia watu na kutoa huduma zenye tija.
Tatizo lililonifanya nipige simu Huduma kwa wateja ni kupokea sms ya aina moja kila mda, ukimuuliza mtumaji sms umetuma mara ngapi anasema mara moja lkn cha ajabu kila baada ya dakika 5 unapokea sms ya aina ile ile.
Airtel naomba mshuulikie tatizo langu ipasavyo nimechoka kero ya kupokea sms moja kila mda.
Namba yangu ya simu ni 0684 908097