Kuna kifurushi kinaitwa Combo unapata dakika za kutosha na MB za kutosha.
Mfano mi napata dakika 550 mitandao yote GB 6 na SMS 500 mwezi mzima kwa shilingi 10,000/= tu.
Mambo ni motoooo
Kweli hawa wako vzr kuliko tigo,voda na nk,mi naunga kifurushi cha 1000 siku 3 napata Gb 1 ya kweli sio zile Gb za uongouongo km voda unaangalia video tatu youtube eti kifurushi kinakata
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.