Ricky Blair
JF-Expert Member
- Mar 13, 2023
- 391
- 873
Mnaorentisha watu Airbnb Bongo 90% bora mfunge tu mfungue hostel. Hamjui kabisa how the online world works. Nimesafiri nchi chache zingine Africa but none nimekutana na ukuda wa Bongo. Jaman hii huduma ya kuwa online 24/7 Km huwezi ajiri mtu wa kuwa online at least before your place haijawa booked. Unabook sehem imekubaliwa na hela imekatwa then limtu halirespond sa cjui anajua Shangazi yake anakuja ambaye ashawahi kufika; if that's not enough message hajibu mpk uwatafute Airbnb and unapiga cm yake oh sehemu bado ina mtu???😡😡😡 imagine air bnb Km 10 I tried Dar upuuzi huo huo. Hawajibu Hamna kitu Sasa imagine mzungu anayetoka Ulaya??? Bora Lodge tu. Kenya na SA hukuti huu ukuda in fact Nairobi nilikaa sehem hata uyo owner sikumuona ilikuwa kuwasiliana tu na kuelekezana. Bongo wanadhan izo air bnb Km picha ya ukutani tu. Tumelala sana.