samweli wa pili
JF-Expert Member
- Mar 21, 2018
- 400
- 272
Pia tungejulishwa Malibu ya mhe. Balozi wa Canada. Nahisi alijitetea kuhusu separation of powers & independence of judiciary. Wenzetu wanajali Sana utaratibu huo tofauti na nchi zetu za kiafrika. Magharibi Mahakama,Bunge na Serikali ni vyombo vinavyoheshimiana sana.