Mponjoli
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 668
- 159
Habari wadau.
Nahitaji Air Compressor yenye specification zifuatazo:
1. Iwe na Piston mbili au zaidi.
2. Iwe na motor ya three phase
3. Storage Tank Size - 250L au zaidi.
4. Pressure - 220 PSI au zaidi.
5. In good wring condition.
Mwenye nayo anipatie bei through PM then tutawasiliana.
Nahitaji Air Compressor yenye specification zifuatazo:
1. Iwe na Piston mbili au zaidi.
2. Iwe na motor ya three phase
3. Storage Tank Size - 250L au zaidi.
4. Pressure - 220 PSI au zaidi.
5. In good wring condition.
Mwenye nayo anipatie bei through PM then tutawasiliana.