Aina za waume (husbands)

Aina za waume (husbands)

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,579
Reaction score
161,430
AINA ZA HUSBAND
1. Bachelor Husband - Huyu hajali
familia yeye na marafiki na
kushinda nje ya nyumba yake
2. Acidic Husband - Huyu ni mkali
kwa kila jambo hata jambo liwe
dogo vipi ni kuwaka kwa kwenda
mbele
3. Slave Husband - Huyu anataka
umnyenyekee kama mfalme yaana
ni kama Mungu mtu
4. General Husband - Huyu ni
kiwembe aka anawanawake wengi
kupita maelezo
5. Dry Husband - Huyu ni mchoyo
akitoa pesa ya matumizi anataka
kujua hadi shilingi moja
imetumikaje
6. Asprin Husband - Huyu anataka
shida zake zote mkewe ndo
azitatue hata kama yeye mwenyewe
ana uwezo
7. Parasite Husband - Huyu ni
tegemezi aka Marioo
8. Baby Husband - Huyu hana
maamuzi binafsi uamuzi wake
hupewa na wazazi ndo aje afanye
maamuzi kwa mkewe
9. Visiting Husband - Huyu hataki
kujua familia imeshindaje, inaishije,
wanakulaje kulala nje kama kawa
hata siku tatu
10. Caring Husband - Huyu ni
mwenye kujali familia na kuitunza
kwa kila jambo
WW uPO KUNDI LIPI??
 
Eti nasikiaga midume yenye vile VINDEVU VYA PUANI VILIVYOCHOMOZA kwa nje huwa ni wazee wa ku-mind sana...sijui unaweza kuwaweka kundi gani hapo.....
 
Siko kwenye kundi lolote. Kwana na care familia kwa asilimia kubwa, lakini pia nina mambo yangu...yale ya yes hayo hayo kwa asilimia ndogo. Ingawa no complain at all pande zote
 
Ki uhalisia kuna waume wengi wanaanguakia kwenye kundi zaidi ya moja. Hii ni kutokana wana tabia zaidi ya moja. mfano kuna ambaye hajali familia na akija home ni mkali kwa kila kitu kama defense mechanism ya kuepuka matatizo ya nyumbani. kwa tabia hii ameshakuwa kwenye kundi la bachelor lakini pia ni acidic.
 
Mi ni COMPOSITE husband yan sifa zote ziunganishwe unapata yangu
 
AINA ZA HUSBAND
1. Bachelor Husband - Huyu hajali
familia yeye na marafiki na
kushinda nje ya nyumba yake
2. Acidic Husband - Huyu ni mkali
kwa kila jambo hata jambo liwe
dogo vipi ni kuwaka kwa kwenda
mbele
3. Slave Husband - Huyu anataka
umnyenyekee kama mfalme yaana
ni kama Mungu mtu
4. General Husband - Huyu ni
kiwembe aka anawanawake wengi
kupita maelezo
5. Dry Husband - Huyu ni mchoyo
akitoa pesa ya matumizi anataka
kujua hadi shilingi moja
imetumikaje
6. Asprin Husband - Huyu anataka
shida zake zote mkewe ndo
azitatue hata kama yeye mwenyewe
ana uwezo
7. Parasite Husband - Huyu ni
tegemezi aka Marioo
8. Baby Husband - Huyu hana
maamuzi binafsi uamuzi wake
hupewa na wazazi ndo aje afanye
maamuzi kwa mkewe
9. Visiting Husband - Huyu hataki
kujua familia imeshindaje, inaishije,
wanakulaje kulala nje kama kawa
hata siku tatu
10. Caring Husband - Huyu ni
mwenye kujali familia na kuitunza
kwa kila jambo
WW uPO KUNDI LIPI??

Du!no 1
 
Back
Top Bottom