Aina za wauaji na mauaji

Hizo mambo unatolea WAP mkuu Kama no kitabu kipi?
 
we unapendelea kipi kati ya hivyo?
 
Mshana Jr katika ubora wako wk hii nlikukumbuka sana nkasema hyu jamaa ambaye thread zake huwa nazipenda Mbona sizioni au bado anakula mwaka mpya. Nmefurahi umerudi tena karbu mkuu na pia ujue unavyokaa kimya muda mrefu kuna watu wanahuzunika hawapati brain wash
 
siasa inanipoteza sana najitahidi kujinasua kule lakini najikuta nashindwa
 
siasa inanipoteza sana najitahidi kujinasua kule lakini najikuta nashindwa
 
hapana ilikuwa katavi, sehemu inaitwa inyonga kisa ilikuwa wivu wa mapenzi jamaa akakodi watu toka tabora wakamuua huyo jamaa. ila walikamatwa
 
Namba 2,3,4 ni kama aina moja ya wauaji.
ila inabidi tuonge AFRICAN SILENCE KILLER,or BLACK SMILE KILLER-hawa ni wauaji wanaoua kwa njia ya kichawi,wakimtumia mtu majini au uchawi.
wauaji hawa mara nyingi huwa ni watu wanaoonekana wastarabu na mauaji yao huanzi nyakati za usiku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…