The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,111
- 115,902
Rostam Aziz: mahakama zetu sio huru ni sahihi Kwa Dp world kuweka kipengele cha mahakama ya South Africa.
Kwanini mahakama zisimchukulie hatua kali iwe fundisho. Anafikiri ukiwa na pesa unaweza iletea mahakama dharau? Mahakama zisikubali kuchafuliwa zimshughulikie haraka Sana iwe fundisho. Mahakama zetu ni huru na ziachwe zifanye kazi yake bila kuingiliwa...
Few day latter..
Mahakama: Mkataba wa DP World hauna shida, zipo kasoro ndogo zinaweza kurekebishika kwenye mkataba unaofata wa HGA. uwekezaji uendelee.
Wadau wakasema Rostam alikuwa sahihi kabisa mahakama zetu sio huru...
Kikwete: watu wakikosoa waachwe wakosoe unarekebisha kama wanacho ongea ni kweli.
Ma great thinkers wa JF: Samia anapaswa kumsikiliza Mzee wetu Kikwete...Rais mstaafu ana busara sana...
Few days latter..
Kikwete: Viongozi wa dini wasichanganye dini na siasa....
Wadau: Huyu Mzee anatakiwa afunge mdomo wake asitupangie kila mtu ana Uhuru wa kutoa maoni yake.
Very interesting
Kwanini mahakama zisimchukulie hatua kali iwe fundisho. Anafikiri ukiwa na pesa unaweza iletea mahakama dharau? Mahakama zisikubali kuchafuliwa zimshughulikie haraka Sana iwe fundisho. Mahakama zetu ni huru na ziachwe zifanye kazi yake bila kuingiliwa...
Few day latter..
Mahakama: Mkataba wa DP World hauna shida, zipo kasoro ndogo zinaweza kurekebishika kwenye mkataba unaofata wa HGA. uwekezaji uendelee.
Wadau wakasema Rostam alikuwa sahihi kabisa mahakama zetu sio huru...
Kikwete: watu wakikosoa waachwe wakosoe unarekebisha kama wanacho ongea ni kweli.
Ma great thinkers wa JF: Samia anapaswa kumsikiliza Mzee wetu Kikwete...Rais mstaafu ana busara sana...
Few days latter..
Kikwete: Viongozi wa dini wasichanganye dini na siasa....
Wadau: Huyu Mzee anatakiwa afunge mdomo wake asitupangie kila mtu ana Uhuru wa kutoa maoni yake.
Very interesting