Aina za upara

Aina za upara

mabiki

Member
Joined
Jan 2, 2014
Posts
19
Reaction score
1
Jamani kuna aina za upara. Wengine wanasema kuna upara wa hela na upara wa akili.wengine wanssema upara wa mikosi. Je hizo hizo para zinakaa wapi.wana jf nielezeni hizo para na maana zake kwa wale wanojua
 
unazungumzia upara wa juu au wachini ....?
 
Wingi wa 'upara' ni 'para' au vipara?
 
[QUO TE=mabiki;8277535]Jamani kuna aina za upara. Wengine wanasema kuna upara wa hela na upara wa akili.wengine wanssema upara wa mikosi. Je hizo hizo para zinakaa wapi.wana jf nielezeni hizo para na maana zake kwa wale wanojua[/QUOTE]


Wewe Uko na para ipi?
 
Unaposema upara wa chini au juu una maana gani,sababu mimi sielewi aina za upara ndo maana nikaaukiza kabanga
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom