Aina za ubani na matumizi yake

Aina za ubani na matumizi yake

Think2

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2025
Posts
2,194
Reaction score
3,959
💥UBANI MAKA

kumvuta mpenzi na mahaba kazini huwa kwenye kuomba unafushwa huo ubani

💥UBANI ZUHURA

kumvuta mpenz aliye mbali

💥UBANI DHIKRI

kuombea dua zako mbali mbali

💥UBANI BAKARHAAD

kuondoa vifungo na kukupa nuru katika maisha yako ukichanganya na dawa mvuto

💥UBANI MASHTAKA

kuombea dua na kushtaki iwe kesi na kumdhuru adui yako kumrudisha mtu ubaya wake ukichanganya dawa fulani

💥UBANI KANDAR

hutumika kuwavuta majini wa mali kama umetengeneza liwe la kuvuta pesa dhahabu ama jini la chuma ulete nk basi hutumika ubani huo kufusha

💥UBANI SANDARUS

kuwavuta wateja na majini ya mali katika 👉biashala au shughuli zako kuondoa nuksi mwilini
 
💥UBANI MAKA

kumvuta mpenzi na mahaba kazini huwa kwenye kuomba unafushwa huo ubani

💥UBANI ZUHURA

kumvuta mpenz aliye mbali

💥UBANI DHIKRI

kuombea dua zako mbali mbali

💥UBANI BAKARHAAD

kuondoa vifungo na kukupa nuru katika maisha yako ukichanganya na dawa mvuto

💥UBANI MASHTAKA

kuombea dua na kushtaki iwe kesi na kumdhuru adui yako kumrudisha mtu ubaya wake ukichanganya dawa fulani

💥UBANI KANDAR

hutumika kuwavuta majini wa mali kama umetengeneza liwe la kuvuta pesa dhahabu ama jini la chuma ulete nk basi hutumika ubani huo kufusha

💥UBANI SANDARUS

kuwavuta wateja na majini ya mali katika 👉biashala au shughuli zako kuondoa nuksi mwilini
Mbona hujaandika manemane?
 
Back
Top Bottom