Kama mfuko mzuri
piga1. kole kole .(jipange)
2.changu na changu doa(jipange)
3.Tasi na tasi mwamba.
4.Nguru(jipange)
5.Panje
6.Taa aina zote japo wengi sio watamu.
7.Mkundaji
8.Kikande.
9.Kuku bahari.
10.Vibua.
11.Saladin
12.Jodari(jipange)
13Pweza(jipange)
14Ngisi hasa ngisi gome(jipange)
15.Baracuda -Nzia
16.Sehewa -kwa pilau hawa!
17.Chuchunge
18.Vipepeo.
19.Nyenga(jamii ya taa wadogo wenye mikia ya sumu)
20.Bunju mtamu but be careful so poisonous ukimkosea imekula kwako
21.Bunju miba-bolingo huyu hana noma unamlampaka matako yake
22.Saleh -samaki mmoja mtamu sana
23.Mboo ya mvuvi au wahindi wanamwita bumla mtamu sana ila sura yake unaweza kutishia watoto
Ukitaka zaidi nisuv8ri nikimaliza kula daku saa 10 alfajr