Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 10,884
- 18,824
Kuna aina kuu tatu za sumu za nyoka. Kila moja huwa na matibabu yake na hupatikana kwa aina fulani za nyoka. Ndiyo maana mtu akiumwa na nyoka hushauriwa kufahamu nyoka aliyemuuma ili kujua aina ya sumu iliyomuingia na matibabu yake.
1. Neurotoxin. Hii ni sumu anbayo inaathiri mishipa ya fahamu na kumfanya mtu apalalayse. Mwisho anashindwa kupumua na kufa. Mfano wa nyoka mwenye sumu hii ni koboko.
2. Cytotoxin. Hii ni sumu ambayo huua seli za mwili na kusababisha sehemu iliyoathirika kuoza. Mfano wa nyoka wenye sumu hii ni kifutu.
3. Hematotoxin. Sumu hii huathiri damu na kuifanya ishindwe kuganda. Matokeo yake mtu anaanza kuvuja damu sehemu mbalimbali za mwili. Mfano wa nyoka mwenye sumu hii ni boomeslang.
1. Neurotoxin. Hii ni sumu anbayo inaathiri mishipa ya fahamu na kumfanya mtu apalalayse. Mwisho anashindwa kupumua na kufa. Mfano wa nyoka mwenye sumu hii ni koboko.
2. Cytotoxin. Hii ni sumu ambayo huua seli za mwili na kusababisha sehemu iliyoathirika kuoza. Mfano wa nyoka wenye sumu hii ni kifutu.
3. Hematotoxin. Sumu hii huathiri damu na kuifanya ishindwe kuganda. Matokeo yake mtu anaanza kuvuja damu sehemu mbalimbali za mwili. Mfano wa nyoka mwenye sumu hii ni boomeslang.