Kila mwanamke anafaa kuolewa bwana
Eti kundi la kifo...! Lol
upo sawa mkuu lakini tukumbuke kuwa wanawake ni waigizaji sana,hivyo anakuangalia wewe ni mwanaume wa aina gani kisha anaamua acheze vipi na wewe,maisha yao ni sanaa
linang'ata hilo,kama manyigu
Kila mwanamke anafaa kuolewa bwana
we uop kundi gani manka?
kundi lingine kabisaaaa kwa yalokuwa hapo sipogo kabisa
Uhakika ungekuwepo sawa...sio ninyi kila siku mnapiga makelele hum eti si mahusiano yote yanapelekea ndoa....tusifikirie ndoa tunapoingia kwenye mahusiano...viumbe ninyi hamtabiriki....leo wa bluu kesho wa kijani...pliiz mtuwache tulale
Hilo kundi la tatu usije jidanganya kumiliki demu utakufa kwa presha kila m2 anajaribu bahati yake ni full presha