kitoromoni
JF-Expert Member
- Oct 1, 2014
- 424
- 210
Naamini wapo wanawake wa aina nyingi duniani lakini makundi haya matatu ndiyo yanajumuisha wengi wao:
1. Wanaofaa kuolewa: hawa huwa smart upstairs.a.ka akili.(haijalishi ni mrembo wa sura na figure au la),ukiwa nao watakushauri namna ya kujenga future,wako serious na maisha na muda wote wataelekeza nguvu zao kufikiria zaidi maisha ya baadae kuliko ya sasa.wanaweza kuvumilia wasivae nguo mpya siku ya sikukuu ili mradi tu malengo flani waliyojiwekea yatimie.wako radhi kupotezea salon na anasa zisizokuwa na msingi ili kusudi kutimiza wanachokitaka,wakijua kwamba baada ya kutimiza lengo,mfano kujenga au kununua kitu chochote cha thamani basi watarudi katika hali yao ya kianasa but wakati huo huo malengo yao yalishatimia.
2.Wanaofaa kula nao bata:kundi hili kwa lugha rahisi tunawza kuliita kundi la kifo,lina wanawake wengi sana,warembo na wanavutia sana.kundi hili linafuata harufu ya pesa,utadhani wana nyota ya kuchuna.yaani kwa ufupi wao ni mtu kitu.atakuita majina yote ukiwa nae,baby,darling,sweetheart sijui sweet mtima name them,atataka mtoke outings za nguvu na wanapenda vitu vya gharama sana.kila fashion ya kitu atakitaka.katika outings 10 ambazo umetoka nae kwa miezi sita(hii ni kwa uchache sana),utajikuta umetumia roughly milioni mbili.anajua umetumia pesa but hata siku moja hawezi kukwambia baby kwa miezi hii sita tusitoke,hiyo hela ya mitoko tujichange tukanunua kiwanja cha maana huko bagamoyo,kisarawe au mvuti.mbaya zaidi wakati uko nae anategeea muwe mnatumia pesa vilivyo huku akitegemea ufanye maendeleo.hawa huwa na zaidi ya mwanamme mmoja
3. Wa kupunguzia ugwadu: kundi hili lina wale wanawake hoe hae(situkani wala kudhalilisha),yaani wanawake wanaoonekana wana hadi ya chini.wenye kipato kidogo na wasio na maisha makubwa.mfano,wafanya usafi wa maofisini,ma house girls,wauza magenge etc.kundi hili ndiyo kundi linaloonewa sana,yaani kama mwanamme anashida zake haitaji kutongoza,ni kumuonyesha tu buku tano au kumi basi na kwenda kupunguza shida zake(ugwadu).kundi hili kila mtu anaingia muda wowote na wakati wowote na wanaweza kuwapa hata wanamme kumi kwa wakati mmoja na msiwe na wivu na wala yeye aiwe na wivu na ninyi coz anajua fika kabisa kuwa umemfata kwa sababu unahitaji "ndudu" na sio mapenzi.huwa wako simpo na haijalishi nani anawafuata,kijana,mzee,mtoto etc.
Naomba radhi kama nitakuwa nimemkera yeyote.
hamba kahle tata nyerere
1. Wanaofaa kuolewa: hawa huwa smart upstairs.a.ka akili.(haijalishi ni mrembo wa sura na figure au la),ukiwa nao watakushauri namna ya kujenga future,wako serious na maisha na muda wote wataelekeza nguvu zao kufikiria zaidi maisha ya baadae kuliko ya sasa.wanaweza kuvumilia wasivae nguo mpya siku ya sikukuu ili mradi tu malengo flani waliyojiwekea yatimie.wako radhi kupotezea salon na anasa zisizokuwa na msingi ili kusudi kutimiza wanachokitaka,wakijua kwamba baada ya kutimiza lengo,mfano kujenga au kununua kitu chochote cha thamani basi watarudi katika hali yao ya kianasa but wakati huo huo malengo yao yalishatimia.
2.Wanaofaa kula nao bata:kundi hili kwa lugha rahisi tunawza kuliita kundi la kifo,lina wanawake wengi sana,warembo na wanavutia sana.kundi hili linafuata harufu ya pesa,utadhani wana nyota ya kuchuna.yaani kwa ufupi wao ni mtu kitu.atakuita majina yote ukiwa nae,baby,darling,sweetheart sijui sweet mtima name them,atataka mtoke outings za nguvu na wanapenda vitu vya gharama sana.kila fashion ya kitu atakitaka.katika outings 10 ambazo umetoka nae kwa miezi sita(hii ni kwa uchache sana),utajikuta umetumia roughly milioni mbili.anajua umetumia pesa but hata siku moja hawezi kukwambia baby kwa miezi hii sita tusitoke,hiyo hela ya mitoko tujichange tukanunua kiwanja cha maana huko bagamoyo,kisarawe au mvuti.mbaya zaidi wakati uko nae anategeea muwe mnatumia pesa vilivyo huku akitegemea ufanye maendeleo.hawa huwa na zaidi ya mwanamme mmoja
3. Wa kupunguzia ugwadu: kundi hili lina wale wanawake hoe hae(situkani wala kudhalilisha),yaani wanawake wanaoonekana wana hadi ya chini.wenye kipato kidogo na wasio na maisha makubwa.mfano,wafanya usafi wa maofisini,ma house girls,wauza magenge etc.kundi hili ndiyo kundi linaloonewa sana,yaani kama mwanamme anashida zake haitaji kutongoza,ni kumuonyesha tu buku tano au kumi basi na kwenda kupunguza shida zake(ugwadu).kundi hili kila mtu anaingia muda wowote na wakati wowote na wanaweza kuwapa hata wanamme kumi kwa wakati mmoja na msiwe na wivu na wala yeye aiwe na wivu na ninyi coz anajua fika kabisa kuwa umemfata kwa sababu unahitaji "ndudu" na sio mapenzi.huwa wako simpo na haijalishi nani anawafuata,kijana,mzee,mtoto etc.
Naomba radhi kama nitakuwa nimemkera yeyote.
hamba kahle tata nyerere