Aina tano za wanawake wa kuwaogopa

Aina tano za wanawake wa kuwaogopa

Gluk

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2017
Posts
1,859
Reaction score
3,022
(1) Muongo: mwanamke muongo ni mwanamke wa kukwepa zaidi ya Ébola. Mwanamke wa aina hii hulazimisha uongo uwe ukweli na ukweli uwe uongo hata kama uongo wenyewe uko wazi . (2) Muongeaji sana : mwanamke hapendezi kuwa muongeaji zaidi ya mpenzi wake au mumewe.. (3) msaliti : ukiwa na mwanamke wa aina hii ujiandae kupata presha na mwisho wa siku uimbiwe wimbo wa parapanda italia parapanda kabla ya siku zako. (4) Mwenye kisirani) kuna baadhi ya wanawake wana kisirani, yaani mkigombana leo ataongea au kulalamika kuanzia january hadi December. Mwisho kabisa ni mwanamke mwenye kiburi au jeuri,, ukiona mwanamke mweny tabia hizi hata kama umempenda ña kuhisi bila yeye huwezi ishi ni bora ubadilishie gia angani kama ndugu yangu yule.. Maan yatakayokuja kukupata utajuta kuzaliwa maisha yako yote..
 
Hahahahaha , Wanamna hiyo hata ukiwa na ugonjwa wa Kitambi kina yeyuka fasta na kukonda ju!!
 
Vipi mwanaume akiwa na sifa hizo?! Nafikiri ungesema mtu wa kumuogopa kwasababu sifa hizo si za jinsia.
Wanaume wenye hizo tabia ni wachache ukilinganisha na wanawake
 
Changamoto zipo... na kila mmoja ana mapungufu yake...
Ndoa ni kuvumiliana lakin kuna wapenz wengine hawavumiliki
 
(1) Muongo: mwanamke muongo ni mwanamke wa kukwepa zaidi ya Ébola. Mwanamke wa aina hii hulazimisha uongo uwe ukweli na ukweli uwe uongo hata kama uongo wenyewe uko wazi . (2) Muongeaji sana : mwanamke hapendezi kuwa muongeaji zaidi ya mpenzi wake au mumewe.. (3) msaliti : ukiwa na mwanamke wa aina hii ujiandae kupata presha na mwisho wa siku uimbiwe wimbo wa parapanda italia parapanda kabla ya siku zako. (4) Mwenye kisirani) kuna baadhi ya wanawake wana kisirani, yaani mkigombana leo ataongea au kulalamika kuanzia january hadi December. Mwisho kabisa ni mwanamke mwenye kiburi au jeuri,, ukiona mwanamke mweny tabia hizi hata kama umempenda ña kuhisi bila yeye huwezi ishi ni bora ubadilishie gia angani kama ndugu yangu yule.. Maan yatakayokuja kukupata utajuta kuzaliwa maisha yako yote..
Hawa wanawake wa sampuli hii hawatufai kwenye Tanzania yetu ya viwanda
 
Wanawake mlichotukosea mwaka huu mtakisema tu kila uzi unawahusu, huyu kaanzisha wa papuchi kubwa,huyu kaanzisha wa wanawake wafupi,huyu wanawake wenye maji huyu wanawake wenye makalio madogo...dah

Kweli nimeamini nyie ni wavumilivu zaidi yetu
 
Hao wataoana na wanaume wenye sifa hizo, kwani warabu wa Pemba hulewana kwa vilemba...! Haachwi MTU...!
 
(1) Muongo: mwanamke muongo ni mwanamke wa kukwepa zaidi ya Ébola. Mwanamke wa aina hii hulazimisha uongo uwe ukweli na ukweli uwe uongo hata kama uongo wenyewe uko wazi . (2) Muongeaji sana : mwanamke hapendezi kuwa muongeaji zaidi ya mpenzi wake au mumewe.. (3) msaliti : ukiwa na mwanamke wa aina hii ujiandae kupata presha na mwisho wa siku uimbiwe wimbo wa parapanda italia parapanda kabla ya siku zako. (4) Mwenye kisirani) kuna baadhi ya wanawake wana kisirani, yaani mkigombana leo ataongea au kulalamika kuanzia january hadi December. Mwisho kabisa ni mwanamke mwenye kiburi au jeuri,, ukiona mwanamke mweny tabia hizi hata kama umempenda ña kuhisi bila yeye huwezi ishi ni bora ubadilishie gia angani kama ndugu yangu yule.. Maan yatakayokuja kukupata utajuta kuzaliwa maisha yako yote..


Wanawake wa sampuli hii wengi wako kwenye Bongo Movie na wale wanaojiita ma-celebrity uchwara tulionao hapa Bongo.
 
Wapo aina fulani ya wanawake.. Ni warembo sana ila wezi...searching kwenye WALETI NDIYO ZAO...Cds..saa.miwani..tshirts..akiingia chooni hadi sabuni anabeba..hatari Sn..

Unachukuaga wa kule kwa kina Gigy Mahela
 
Back
Top Bottom