Nikweli kuna wizi mkubwa. Unanunua bando la MB 500 lakini data meter ya tablet yako ikisoma unetumia MB 420 tuu wao wanakuonyesha kuwa unemaliza MB 500.
Sasa wizi huu mpaka lini? Na kama ni kwa nchi nzima wanatuibia kiasi gani kwa siku,mwezi hadi mwaka?
TCRA waliangalie hili, huu ni ukibaka kana mwingine wowote