Well said mkuuWanachofanya kukuibia ni hivii:-
Ukinunua "bando" i.e la internet kwa M-Pesa hawakupi majibu ya ukamilifu wa muamala, ukiangalia salio unakuta lipo vile vile.
Muda ukipita utajaribu mara ingine kununua, pia hutapewa report ya kufanikiwa, kwa kuwa salio halitakatwa, utaridhika kuwa muamala haujakamilika.
Utajaribu mara ya tatu au hata nne, ukiisha kata tamaa na kuacha baada ya nusu saa au zaidi kidogo wanakuuzia miamala ya bando zooote ulizojaribu kununua na mbaya zaidi uwe ulinunua bando za siku, unaweza kujikuta umeibiwa hadi 10,000/ kwa staili hii walioibuni hawa vodacom.
Natafuta njia bora kabisa ya kuachana nao maana tazama wanatumia mabilioni ya shilingi kutafuta wateja kwa matangazo ya biashara yao, lakini wanashindwa kutumia mtaji mdogo kabisa kuendelea kunipa huduma niwe sehemu ya kuwaingizia faida iliyokusudiwa na matangazo ya kuwalipa kina daimond kusaka wateja.
Piga costomer care yao uone majibu yao ya kukariri, AIBU.
Wanachofanya kukuibia ni hivii:-
Ukinunua "bando" i.e la internet kwa M-Pesa hawakupi majibu ya ukamilifu wa muamala, ukiangalia salio unakuta lipo vile vile.
Muda ukipita utajaribu mara ingine kununua, pia hutapewa report ya kufanikiwa, kwa kuwa salio halitakatwa, utaridhika kuwa muamala haujakamilika.
Utajaribu mara ya tatu au hata nne, ukiisha kata tamaa na kuacha baada ya nusu saa au zaidi kidogo wanakuuzia miamala ya bando zooote ulizojaribu kununua na mbaya zaidi uwe ulinunua bando za siku, unaweza kujikuta umeibiwa hadi 10,000/ kwa staili hii walioibuni hawa vodacom.
Natafuta njia bora kabisa ya kuachana nao maana tazama wanatumia mabilioni ya shilingi kutafuta wateja kwa matangazo ya biashara yao, lakini wanashindwa kutumia mtaji mdogo kabisa kuendelea kunipa huduma niwe sehemu ya kuwaingizia faida iliyokusudiwa na matangazo ya kuwalipa kina daimond kusaka wateja.
Piga costomer care yao uone majibu yao ya kukariri, AIBU.
SIYO KWAMBA NI MAKUSUDI, MBONA HAIJAWAHI KUTOKEA AKAKUZIDISHIA MUDA WA MAONGEZISaa nyingine system yao inakuwa hovyo kwa hyo mpaka ije kurespond inakamilisha miamala yote uliyofanya.
Nakushauri,ukifanya muamla mmoja tulia kwanza na wala usifanye muamala mwingine mpaka utakaporudishiwa majibu.
ahahahahah thubutuuuuuuSIYO KWAMBA NI MAKUSUDI, MBONA HAIJAWAHI KUTOKEA AKAKUZIDISHIA MUDA WA MAONGEZI
KWELI KABISA. KWANGU ISHAJITOKEZA SANA.Wanachofanya kukuibia ni hivii:-
Ukinunua "bando" i.e la internet kwa M-Pesa hawakupi majibu ya ukamilifu wa muamala, ukiangalia salio unakuta lipo vile vile.
Muda ukipita utajaribu mara ingine kununua, pia hutapewa report ya kufanikiwa, kwa kuwa salio halitakatwa, utaridhika kuwa muamala haujakamilika.
Utajaribu mara ya tatu au hata nne, ukiisha kata tamaa na kuacha baada ya nusu saa au zaidi kidogo wanakuuzia miamala ya bando zooote ulizojaribu kununua na mbaya zaidi uwe ulinunua bando za siku, unaweza kujikuta umeibiwa hadi 10,000/ kwa staili hii walioibuni hawa vodacom.
Natafuta njia bora kabisa ya kuachana nao maana tazama wanatumia mabilioni ya shilingi kutafuta wateja kwa matangazo ya biashara yao, lakini wanashindwa kutumia mtaji mdogo kabisa kuendelea kunipa huduma niwe sehemu ya kuwaingizia faida iliyokusudiwa na matangazo ya kuwalipa kina daimond kusaka wateja.
Piga costomer care yao uone majibu yao ya kukariri, AIBU.
Wanachofanya kukuibia ni hivii:-
Ukinunua "bando" i.e la internet kwa M-Pesa hawakupi majibu ya ukamilifu wa muamala, ukiangalia salio unakuta lipo vile vile.
Muda ukipita utajaribu mara ingine kununua, pia hutapewa report ya kufanikiwa, kwa kuwa salio halitakatwa, utaridhika kuwa muamala haujakamilika.
Utajaribu mara ya tatu au hata nne, ukiisha kata tamaa na kuacha baada ya nusu saa au zaidi kidogo wanakuuzia miamala ya bando zooote ulizojaribu kununua na mbaya zaidi uwe ulinunua bando za siku, unaweza kujikuta umeibiwa hadi 10,000/ kwa staili hii walioibuni hawa vodacom.
Natafuta njia bora kabisa ya kuachana nao maana tazama wanatumia mabilioni ya shilingi kutafuta wateja kwa matangazo ya biashara yao, lakini wanashindwa kutumia mtaji mdogo kabisa kuendelea kunipa huduma niwe sehemu ya kuwaingizia faida iliyokusudiwa na matangazo ya kuwalipa kina daimond kusaka wateja.
Piga costomer care yao uone majibu yao ya kukariri, AIBU.