Hiyo zamani sana siku hizi wanapiga jeki grill hadi linaachia na sim tank wananaweka godoro chini wanafumgulia maji yakitoka pale ni kimya kimya nabtank linaondoka.
Juzi kuna rafiki yangu wezi walienda wakafungua maji kwenye cock yakatoka kwa kumwagika jamaa akaamka speed kufunga ili miter isisome bill kunwa kumbe wale wezi ilikuwa ndio targer yao alipofungua mlango wakamkamata wakamkata kibao cha machoni kumtoa wenge jamaa chaki chini wakamfunga kamba wakazama ndani wakachukua chao kama masihara vile