Aina 8 za wanawake hatari

Kuna Hawa wa mafuta ya upako na maji ya upako hao baba mchungujai akisema kesho mkesha arusha na wao hao
Lazima waende hawafai hata japo uzuri wao ni kuwa ukiwa malaya hawasumbui sana ni kumsingizia shetani na kufanya maombi na kesi imeisha
 
Kuna Hawa wa mafuta ya upako na maji ya upako hao baba mchungujai akisema kesho mkesha arusha na wao hao
Lazima waende hawafai hata japo uzuri wao ni kuwa ukiwa malaya hawasumbui sana ni kumsingizia shetani na kufanya maombi na kesi imeisha
Hao wanaitwa al kibur.. Hawaambiliki
 
Kuna Hawa wa mafuta ya upako na maji ya upako hao baba mchungujai akisema kesho mkesha arusha na wao hao
Lazima waende hawafai hata japo uzuri wao ni kuwa ukiwa malaya hawasumbui sana ni kumsingizia shetani na kufanya maombi na kesi imeisha
Hao si wazuri wanakuombea unafanikiwa mishe zako
 
Hapa sijui kibongo bongo kama kuna ambaye atakosekana,na wengine mpaka wanabeba mbili au tatu ya hizo tabia...
 
Hii iyakua elimu dunya au elomu akhera maana sijawahi kutana nayo kwenye vitabu
 
mwanamke kila kitu yeye anataka hata kama anacho
utasikia leo nimepita dukani nimeona miwani kidogo niitume niliyoivaa

wanazuoni wa kislamu wametuonya sampuli hii ya wanawake kwani anaweza kukufanya usivue viatu mbele za watu kwa soksi mbovu
 
Weka na picha za hao wanawake tuone mfano
 
[mention]Mshana Jr [/mention] emu tuambie walimu wa nchii hii wapo kundi gani hapo mana hujawa-categorise

usinambie walimu hawana matatizo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…