Aibu kwa serikali yetu

dengeru

Member
Joined
Oct 1, 2009
Posts
52
Reaction score
7
wakati kikwete akihutbia leo sabasaba alikuwa antumia lugha ya kiswahli halafu mkalimani akawa anaitafsiri kwa kibrazili kwa raisi wa brazil,akaja raisi wa brazil kuzungumza mkalimani akawa anaitafsiri kwa kiingerza kwa kikwete,hapo ndo niliposhangaa,kwani kikwete lugha yakeni kiingereza?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…