Aibu kwa nchi

Aibu kwa nchi

Huu mchezo kama haufahamiki hapa tanzania.

Timu ya taifa ya volleyball hata wachezaji 16 hawafiki
 
Volleyball ni mchezo usiopewa kipaumbele Tanzania. Haupo kwenye list ya michezo pendwa kabisa. Hata wachezaji wake ni wachache. So haishangazi.
 
Haya ndio madhara ya kuwapa Wizara akina Pauline Gekul, hakuna anachokifanya kikaeleweka
 
Msipoteze muda kumtafuta Bashungwa. Yupo kwao kwenye fainali za Bashungwa Club Cup Karagwe, 2021.
 
Huu mchezo kama haufahamiki hapa tanzania.

Timu ya taifa ya volleyball hata wachezaji 16 hawafiki
Ficha ujuha wako,volleyball ni mchezo maarufu tz,ukiondoa football, basketball na boxing. ITAKUWA WEWE NDIO BASHUNGWA UNAJITETEA HUMU BAADA YA KUFANYA MADUDU,hukufaa kuongoza hii wizara ILA HAKUNA JINSI CCM LAZIMA MPEANE VITENGO ila tunaoumia ni sisi
 
Nchi ya ajabu sana hii unakuta wanaweka mafuta zaidi ya dollar buku harafu wanashindwa kulipia ada ya mwaka kwenye michezo...
 
Ficha ujuha wako,volleyball ni mchezo maarufu tz,ukiondoa football, basketball na boxing. ITAKUWA WEWE NDIO BASHUNGWA UNAJITETEA HUMU BAADA YA KUFANYA MADUDU,hukufaa kuongoza hii wizara ILA HAKUNA JINSI CCM LAZIMA MPEANE VITENGO ila tunaoumia ni sisi
Sawa mkuu nimekusikia
 
Back
Top Bottom