Aibu kwa nchi

Aibu kwa nchi

dope bwoi

JF-Expert Member
Joined
Feb 25, 2009
Posts
273
Reaction score
646
Shirikisho la Volleyball Afrika limechukua uamuzi wa kuitoa Tanzania ktk Mashindano ya Volleyball ya Mataifa Afrika yanayoendelea Rwanda, kwa kushindwa kulipa ada ya ushiriki $1,000 na $50 kwa kila mtu kwa siku 12
Hii ni aibu kwa Taifa letu

image.jpeg


image.jpeg
 
Bongo hakuna kitu chochocte Cha maana wanaweza
 
Haya ona Sasa ndio Nini hiki
Ndugai kaanza vituko Tena eee?

Kwanini hakupanga bajeti kwenye wizara husika na bunge lake la kijani Kama shamba la migomba huko kwa kina Nshomile?

Bashungwa hafai arudishwe kwao akalime machungwa kazi na wizara ishamshinda!
 
Back
Top Bottom