FREDRICK FLAVIUN
Member
- Dec 20, 2012
- 13
- 1
WanaJF!
Nimepita hapa Manzese kwenye mkutano wa CHADEMA walio uandaa kwa ajili
ya mjadala wa katiba mpya.
Jambo ambalo ni la kushangaza ni idadi ndogo sana ya watu utadhani wana
hutubia kitchen party au send-off.
Ingawa kulikuwa na juhudi za kutosha katika kuutangaza mkutano huo,
lakini watu wa Dar hawana muda wa kupoteza hivyo mwitikio umekuwa mdogo
mno.
DALILI YA CHADEMA KUCHOKWA INA DHIHIRI.
watu wanaogopa kwenda kumwagiwa tindikali
Chadema haina mvuto Dar. Wale wanatamba wakiwa Arusha na Moshi. Haya ndiyo matatizo ya vyama vya ukanda na ukabila. Halafu eti wapewe nchi??!!! Watajaza wachaga tupu ikulu mapimbi hawa
wapeni zile mbinu zenu za kukusanya watu huenda wakajaza angalau kidogoWanaJF!
Nimepita hapa Manzese kwenye mkutano wa CHADEMA walio uandaa kwa ajili ya mjadala wa katiba mpya.
Jambo ambalo ni la kushangaza ni idadi ndogo sana ya watu utadhani wana hutubia kitchen party au send-off.
Ingawa kulikuwa na juhudi za kutosha katika kuutangaza mkutano huo, lakini watu wa Dar hawana muda wa kupoteza hivyo mwitikio umekuwa mdogo mno.
DALILI YA CHADEMA KUCHOKWA INA DHIHIRI.
Bora hata wangefanyia Kimara.
siku zote mabadiliko huletwa na wachache....usihofie sana, wingi wa watu siyo jibu la kukubalika au la
CDM hawajawahi kufadhaika kwa uchache wa watu mikutanoni, ndiyo changamoto za kisiasa, ....sijui
kwanini iwe "AIBU KUBWA" ... hatushindani kwa idadi za watu mikutanoni tunapambana kwa hoja tuwaachia watanzania
waamue wenzetu nyie ... mna wakurugenzi wa miji na halmashauri ambao ndio wasimamizi wa chaguzi zote na hawa wanateuliwa na Waziri Mkuu aliyeteuliwa na Rais kutoka CCM, .... mnatakiwa kusemewa tu mmeshinda na inakua hivyo lakini wataka mabadiliko hawachoki kushiriki nanyi katika upendeleo wenu huo wa wazi wazi ..."MPAKA KIELEWEKE"
Inabidi tubadilishe mitazamo, hii mikutano ya vyama si kwa ajili ya wanachama au washabiki wa chama kilichoandaa mkutano bali ni kwa watanzania wote maana utajuaje mabaya au mazuri ya chama flani bila kuhudhuria mikutano yao, na ndio maana tumefika hapa chama flani kikiandaa mkutano wake waliojaa ni wafuasi wake tu
taahira ni taahira tu,....
Mkuu mwaga picha hapa maana naona Tumain Makene amekataa kabisa kuweka picha kwenye thread yake ingawa juhudi kubwa tumeitumia ya kudai picha ila juhudi zetu hazijazaa matunda.
Teh teh teh, CHADEMA yaanza kuchokwa.
Chadema haina mvuto Dar. Wale wanatamba wakiwa Arusha na Moshi. Haya ndiyo matatizo ya vyama vya ukanda na ukabila. Halafu eti wapewe nchi??!!! Watajaza wachaga tupu ikulu mapimbi hawa
Chadema haina mvuto Dar. Wale wanatamba wakiwa Arusha na Moshi. Haya ndiyo matatizo ya vyama vya ukanda na ukabila. Halafu eti wapewe nchi??!!! Watajaza wachaga tupu ikulu mapimbi hawa
Mliberali yaani mpaka leo hujabadili jina? huyo Radhia anakuudhi nini kila siku wewe kumtukana au una undugu na modsmalay......mpuuzi tarehe zimefika?