Aibu katikati ya jiji la Dar es Salaam

Aibu katikati ya jiji la Dar es Salaam

Ndwanga

Member
Joined
Dec 9, 2011
Posts
23
Reaction score
2
Katika hali isiyo ya kawaida nikiwa katika pitapita zangu za kujitaftia riziki nilijikuta katika hali ya mshangao pale nilipo kumbana na vijana wabunifu wa ajira zisizo rasimi ambapo vijana walikua wakifanya kazi ya kutoa magari yaliokua yakikwama katika shimo la maji machafu na kutoza fedha madereva wa magari hayo. Shimo ilo lipo maeneo ya Posta pembeni mwajengo la HIDERY PLAZA. Kwakifupi barabara hii imekua kero kubwa kwa madereva wa magari kwani inamashimo yasio ya kawaida yani utafikiri sio barabara ya lami na hata kama ni lami haipo katikati ya mji. swali ni kwamba je wahusika hawajaona kero hio? na je fedha zinazotengwa kwa ajili ya ukarabati wa barabara (road maintenance) hazitoshi. na wahusika wa idara husika wafanya kazi gani?
 
kwanza edit kichwa cha habari pili toa taarifa jiji uwepo wa hilo shimo
 
Katika hali isiyo ya kawaida nikiwa katika pitapita zangu za kujitaftia riziki nilijikuta katika hali ya mshangao pale nilipo kumbana na vijana wabunifu wa ajira zisizo rasimi ambapo vijana walikua wakifanya kazi ya kutoa magari yaliokua yakikwama katika shimo la maji machafu na kutoza fedha madereva wa magari hayo. Shimo ilo lipo maeneo ya Posta pembeni mwajengo la HIDERY PLAZA. Kwakifupi barabara hii imekua kero kubwa kwa madereva wa magari kwani inamashimo yasio ya kawaida yani utafikiri sio barabara ya lami na hata kama ni lami haipo katikati ya mji. swali ni kwamba je wahusika hawajaona kero hio? na je fedha zinazotengwa kwa ajili ya ukarabati wa barabara (road maintenance) hazitoshi. na wahusika wa idara husika wafanya kazi gani?

Aibu kitu gani au kwa vile ni Dar? mbona huku tunavua samaki kabisa na hukuanzisha thred?
 
hii barabara sio ya leo katika hali hii na nimiongoni mwa barabara inayotumiwa na viongozi hivyo ni ucheleweshwaji tuu wa maamuzi. Hali hii ni aibu kwajiji kubwa kama hili kua na miundo mbinu mibovu
 
Wanangoja iishe kabisa watangaze tenda wapate 20% maana dau limepanda. Chukua Chako Mapema....
 
Kwa mujibu wa vyanzo mbali mbali vya habari vinasema kwamba..swala la miundombinu ya maji including hilo shimo..halimo katka usimamizi wa halmashauri kama ilivyokua awali! Na sasa iko chini ya Dawasa/ Dawasco kama sikosei na taarifa zinasema fedha za ukarabati zinatolewa wazee wana chakachua!
 
Kwa mujibu wa vyanzo mbali mbali vya habari vinasema kwamba..swala la miundombinu ya maji including hilo shimo..halimo katka usimamizi wa halmashauri kama ilivyokua awali! Na sasa iko chini ya Dawasa/ Dawasco kama sikosei na taarifa zinasema fedha za ukarabati zinatolewa wazee wana chakachua!

kwa hali hii wahusika waajibishwe kwa ubadhilifu wa mali ya umma
 
Katika hali isiyo ya kawaida nikiwa katika pitapita zangu za kujitaftia riziki nilijikuta katika hali ya mshangao pale nilipo kumbana na vijana wabunifu wa ajira zisizo rasimi ambapo vijana walikua wakifanya kazi ya kutoa magari yaliokua yakikwama katika shimo la maji machafu na kutoza fedha madereva wa magari hayo. Shimo ilo lipo maeneo ya Posta pembeni mwajengo la HIDERY PLAZA. Kwakifupi barabara hii imekua kero kubwa kwa madereva wa magari kwani inamashimo yasio ya kawaida yani utafikiri sio barabara ya lami na hata kama ni lami haipo katikati ya mji. swali ni kwamba je wahusika hawajaona kero hio? na je fedha zinazotengwa kwa ajili ya ukarabati wa barabara (road maintenance) hazitoshi. na wahusika wa idara husika wafanya kazi gani?

Nilipo soma heading, nikafungua faster nikidhani kuna mtu kakutwa na dhahma
Ahhhhggggggg..........
 
Kama barabara kuwa na mashimo ni aibu, basi hata rais wetu asingethubutu kutoka ikulu, angejifungia chumbani kwake na kujifunika ile hijab ya wanaume!
 
Is say SHAME MID MIDDLE DAR. it rain season. is rain end our city will become glittering again. just waiting it finish rain. not worry. be a patient.
 
Back
Top Bottom