Aibu; ITV/DSTV hobelajobela tu!

Aibu; ITV/DSTV hobelajobela tu!

zebradume

Member
Joined
Mar 27, 2014
Posts
48
Reaction score
18
Kama hamuwezi kwenda na teknolojia mliingia kufanya nn kwenye digital setelite? vipindi vyenu na muda mnaoandika km metoka usingizini jirekebisheni uvurundo wenu ptuu mnatia aibu. AIBU YENU!!
 
Kama hamuwezi kwenda na teknolojia mliingia kufanya nn kwenye digital setelite? vipindi vyenu na muda mnaoandika km metoka usingizini jirekebisheni uvurundo wenu ptuu mnatia aibu. AIBU YENU!!
anaye-attach ratiba kwenye muda ni DSTV, wakongwe wa digitali.
 
Kimetokea nini ITV kwenye dstv maana walilalamikia startimes chanel yao ilscrach sekunde hata 40 hazijfika wakachonga sana bona ya dstv wamepiga kimya
 
Hasira zote hizi ni kwasababu ya muda tu?! au kuna lingine nyuma ya pazia?? nimecheka sana unavyotoka povu jingi hivyo!!
 
Kama hamuwezi kwenda na teknolojia mliingia kufanya nn kwenye digital setelite? vipindi vyenu na muda mnaoandika km metoka usingizini jirekebisheni uvurundo wenu ptuu mnatia aibu. AIBU YENU!!

Wewe wala usilalamike...........ukiona huelewielewi.........ongeza lisaa limoja mbele........utakuwa umebalansi na wao...........
 
Hasira zote hizi ni kwasababu ya muda tu?! au kuna lingine nyuma ya pazia?? nimecheka sana unavyotoka povu jingi hivyo!!

Mkuu hujaelewa kinachoongelewa ni ratiba ya vipindi na muda mfano isidingo inaoneshwa itaonekana sio muda wake wa kila siku na taarifa ya habari inaonekana kuanza saa 21.10hrs!
 
.....sasa si bora ITV wanaandika hata vipindi vijavyo, TBC, channel10 na Star tv hata hujui kinatoka kipi kinaingia kipi.
 
Mimi nimemwelewa mtoa mada, maana kuna siku nilichukia sana baada ya ku record ISIDINGO the need ili niangalie badae, sasa nimemaliza issue zangu nimetulia na kikombe changu cha chai ili nianze ku enjoy ISIDINGO the need mala nakutana na kipindi cha watoto! nilichukia sna. Na tangia hapo najua kua saa moja na nusu ni ISIDINGO the need, sitilii maanani wao kwenye ratiba wameaandika nini.
 
Back
Top Bottom