AI na ushahidi wa picha

Hilo la 'lijamaa kumgegeda mkeo' umebonyeza sana mpaka umetutoa kwenye reli bhana.
 
AI Ina makosa mengi na bado itakuwa nayo kwa muda mrefu sana.
Kwa mfano Kuna documentary ya jinsi Saddam Hussein alivyo salitiwa na kukamatwa kwenye maficho yake.
Ile video graphics nzuri karibu kila kitu kipo kiwango cha uhalisia kumbe AI generated.
Kosa moja Saddam anaonekana akiandika kwenye karatasi toka kushoto kwenda kulia wakati yeye muarabu alikuwa akiandika kiarabu toka kulia kwenda kushoto. Hilo kosa limekuja kuonesha ni AI siyo video halisia.
 
Hatari mkuu.
Inahitajika akili nyingi sana aisee!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…