Hakuna kitu kama hicho,, hakuna adhabu yeyote apewayo mtu akijamba msikitini,,, likikutokea hilo unapaswa ukachukuwe UDHU UPYA,,, uendelee na swala,,,, huo ni uzushi tu,, kuuchafua UISLAM,, kabla ya kuingia msikitini lazima uwe na udhu,,,,, na udhu hutoka pale tu unapotoa hewa au maji kwenye tundu,, ya mbele au nyuma,,, iwapo itatoka maji basi huna budi ukanawe upya kwa MAJI,,, halafu urudi uchukuwe udhu,, ndy uendelee na swala,, na hayo ni ya kawaida msikitini, hizo zote ni mbinu za WAGALATIA,, kuudhalilisha UISLAM