Abdul Mganyizi
JF-Expert Member
- Oct 28, 2019
- 1,040
- 2,009
Ninachokijua mpaka umepata kuwa professor umepitia sehemu nyingi ,kama ni misamiati umekutana nayo mingi sana lakini pia lugha umeitumia sana katika kudefend hizo tafti zako ulizofanya.Kuongea kingereza cha aina hiyo kwa prff kama Ndalichako lazima tujiulize maswali mengi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila leta karamu na karatasi niandike nilichoshindwa kukizungumza mbele ya kadamnasi hutojuta!.