Ahsante sana mama Ndalichako!

Ninachokijua mpaka umepata kuwa professor umepitia sehemu nyingi ,kama ni misamiati umekutana nayo mingi sana lakini pia lugha umeitumia sana katika kudefend hizo tafti zako ulizofanya.Kuongea kingereza cha aina hiyo kwa prff kama Ndalichako lazima tujiulize maswali mengi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilikuwa na tatizo kubwa la kuogopa kuongea Kiingereza mbele za watu sababu sijakijua vizuri na kwa bahati mbaya sana shughuli zangu zinanihitaji nifanye hivyo mara kwa mara......nilikuwa napata shida kwelikweli na kujisikia mnyonge.

Jana ni clip ya pili ya mama yangu Ndalichako naiona ikisambaa mitandaoni akiwa anazungumza kiingereza. Mengi yameongelewa kuhusu suala la Kiingereza kutokidhi haja tarajiwa ya daraja lake la kielimu (uprofesa) na mengine mengi ikiwemo waliojiuliza kuwa mama amesoma zamani na kipindi hicho ndicho watabe wa lugha walikuwepo kutokana na wengi wao kufundishwa na wenyewe wazungu sasa imekuaje hana flow nzuri kabisa n.k.

Hayo mengine nakuachieni maana sina la maana nilijualo, lakini mimi nakiri nimepata confidence ya hali ya juu mno ya kujizungumzia tu mbele za watu. Yaani nimemotishika vya kutosha kabisa na zile clips. seriously, ahsante sana mama Ndalichako!
Nimekuelewa sana Mkuu hapa tz eti MTU akiongea kizungu sana ndo anaonekana elim ipo sana kumbe ni lugha tu ya kufikisha mawasiliano na sisi hatuitaji lugha zaidi tunaitaji content katika fan yake Leo wachina wanatufanyia miradi kibao na hawajui kiswahili hata kingereza bado kwao ni shida ila content zao ziko vizuri so hakuna sababu ya kumkebehi mtu et kwa sababu hawezi ongea kingereza hata mimi mwaka mmoja nasoma uganda mwanzo nilikua naogopa hata kufanya presentation nikijua kingereza changu kibovu mpaka siku moja prof alipokuja nisifia ndo nikapata confidence na niliendelea kuimprove taratibu
Kinachotoa shida kwanza ni mazingila kwamba lugha yetu ni kiswahili na kingereza tunakizungumza penye sababu mahalum na lugha yoyote ili ikae vizuri lazima uwe unaizungumza kila siku
 
Kwa iyo unafurahia ujinga, mm wakat nasoma form 2 tulikuwa tunavalishwa bango la speak english, sasa kwa prof kushindwa ku floo english si maajabu tu bali ni maajabu makubwa, et yu wili slip insaidi, nammiss sana jk yule jamaa ni mjanja mjnja lkn yupo vizur sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa hivi upo kidato cha ngapi?
 
Tatizo wabongo wengi wanajua kujua kiingilishi ndo kuelimika! Kuna watu swala la kushika lugha hilo linasumbua ,wengine wanauwezo wa kushika lugha hata tano!.. binafsi kuzungumza hiyo lugha mbele ya kadamnasi ni jaribio la kutaka kunizimisha!!😂 Ila leta karamu na karatasi niandike nilichoshindwa kukizungumza mbele ya kadamnasi hutojuta!.
Sisi ndo ambao tukiwa nyuma ya darasa kelele Kama zote! Leta debate niweke mbele ya darasa nizungumze utajuta.. kwanza natafuta kitu cha kushika walau nipate ahueni maana hapo natetemeka Kama mwendawazimu nikikosa Cha kushika sasa hapo jiandaeni kucheka tu maana debate itageuka kuwa kituo kutetemeka!!😂😂
Kiingeleza cha karatasi uliniinua Sana essay zilinikoma ila cha kuongea mbele ya watu umenitesa sana ng'ombe wewe sitakusahau🤣
Nini kiingezeza wewe, uliza products za Kibaha High School enzi za Mwalimu Msaki!!! The head Master. Prof. David Mfinanga, Prof. Joseph Mpagalile, Prof. David Nyange, Prof. Siza Tumbo nk. Mr Msaki hakuangalia lugha aliangalia flow ya material na manipulation ya mathematics. Peleka kiimgereza chako kwenye ngwini
HJK, whatever.
 
Ninavyo jua mimi rugha yoyote ile Kuna skills ya Aina Tatu

Kusoma
Kuandika
Na
Kuzungumza

Kwa elimu ya kawaida tuu huwez kuzungumza vizuri lugha ya kujifunza kama huitumiii Mala kwa mala hivyo basi

Kujua kuzungumza lugha furan haimaniishi kuwa ndio una ujuzi Sana..

Achina kibao Wana ujuzi Lakin hawaju kingeleza...

Ni Africa tuu mambo Haya yapo kwa kuwa tuu utumwa wa fikra bado upo ndani yetu....

Mimi sijuh kuongea kingeleza ila na furahia maisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ninachokijua mpaka umepata kuwa professor umepitia sehemu nyingi ,kama ni misamiati umekutana nayo mingi sana lakini pia lugha umeitumia sana katika kudefend hizo tafti zako ulizofanya.Kuongea kingereza cha aina hiyo kwa prff kama Ndalichako lazima tujiulize maswali mengi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Unajiuliza wewe tu sio wengine kwa kua umepitia sijui shule zenu za kulishwa kama vifaranga lakini vipi content zipo au ndo ile ya kubebwa kisa lugha acha izo elimu ya bongo ni ngum hakuna prof tz kilaza labda kama wengine wanaalibiwa na siasa zenu uchwara but elim ya tz si ya kubeza we kaa na vingereza vyako wakati hata ukulele ukupewa hats daraja ujenge hata ratio ya kokoto hujui
 
Nini kiingezeza wewe, uliza products za Kibaha High School enzi za Mwalimu Msaki!!! The head Master. Prof. David Mfinanga, Prof. Joseph Mpagalile, Prof. David Nyange, Prof. Siza Tumbo nk. Mr Msaki hakuangalia lugha aliangalia flow ya material na manipulation ya mathematics. Peleka kiimgereza chako kwenye ngwini
HJK, whatever.
Na wewe ni product ya kibaha?

Huna hata brain- hand coordination?

Angalia upuuzi Na michapio uliyotiririka.

Sifa mingi, ujinga mingi.

Kama ulisoma hapo kibaha, wewe ni kituko.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilikuwa na tatizo kubwa la kuogopa kuongea Kiingereza mbele za watu sababu sijakijua vizuri na kwa bahati mbaya sana shughuli zangu zinanihitaji nifanye hivyo mara kwa mara......nilikuwa napata shida kwelikweli na kujisikia mnyonge.

Jana ni clip ya pili ya mama yangu Ndalichako naiona ikisambaa mitandaoni akiwa anazungumza kiingereza. Mengi yameongelewa kuhusu suala la Kiingereza kutokidhi haja tarajiwa ya daraja lake la kielimu (uprofesa) na mengine mengi ikiwemo waliojiuliza kuwa mama amesoma zamani na kipindi hicho ndicho watabe wa lugha walikuwepo kutokana na wengi wao kufundishwa na wenyewe wazungu sasa imekuaje hana flow nzuri kabisa n.k.

Hayo mengine nakuachieni maana sina la maana nilijualo, lakini mimi nakiri nimepata confidence ya hali ya juu mno ya kujizungumzia tu mbele za watu. Yaani nimemotishika vya kutosha kabisa na zile clips. seriously, ahsante sana mama Ndalichako!
Wewe ni Ndalichako mwenyewe unajaribu kupoza
 
Nini kiingezeza wewe, uliza products za Kibaha High School enzi za Mwalimu Msaki!!! The head Master. Prof. David Mfinanga, Prof. Joseph Mpagalile, Prof. David Nyange, Prof. Siza Tumbo nk. Mr Msaki hakuangalia lugha aliangalia flow ya material na manipulation ya mathematics. Peleka kiimgereza chako kwenye ngwini
HJK, whatever.

Hahahah kwny kiingereza wote hao ni kifo cha mende tu wkt wametumia kiingereza kuanzia wakiwa form 1 mpk University(PH.d).
 
Ninavyo jua mimi rugha yoyote ile Kuna skills ya Aina Tatu

Kusoma
Kuandika
Na
Kuzungumza

Kwa elimu ya kawaida tuu huwez kuzungumza vizuri lugha ya kujifunza kama huitumiii Mala kwa mala hivyo basi

Kujua kuzungumza lugha furan haimaniishi kuwa ndio una ujuzi Sana..

Achina kibao Wana ujuzi Lakin hawaju kingeleza...

Ni Africa tuu mambo Haya yapo kwa kuwa tuu utumwa wa fikra bado upo ndani yetu....

Mimi sijuh kuongea kingeleza ila na furahia maisha

Sent using Jamii Forums mobile app

Wewe hata kiswahili tu hukielewi.

Rugha,Mala kwa mala,furan,kiingeleza,sijuh

Wewe ni KILAZA MKUBWA.
 
Kingereza kama huongei mara kwa mara hata uwe na PHD sita lazma utatoa maboko tu...
Kuandika na kuongea tofauti sana..
Mfano mie toka nitoke shule miaka 10 imepita sijaongea kingereza sa hapo unategenea nini ka sio maboko...

Ni sawa na mtu anaetoka kijijini umlete Dar mwanzon kiswahili huwa mdomo mzito.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilikuwa na tatizo kubwa la kuogopa kuongea Kiingereza mbele za watu sababu sijakijua vizuri na kwa bahati mbaya sana shughuli zangu zinanihitaji nifanye hivyo mara kwa mara......nilikuwa napata shida kwelikweli na kujisikia mnyonge.

Jana ni clip ya pili ya mama yangu Ndalichako naiona ikisambaa mitandaoni akiwa anazungumza kiingereza. Mengi yameongelewa kuhusu suala la Kiingereza kutokidhi haja tarajiwa ya daraja lake la kielimu (uprofesa) na mengine mengi ikiwemo waliojiuliza kuwa mama amesoma zamani na kipindi hicho ndicho watabe wa lugha walikuwepo kutokana na wengi wao kufundishwa na wenyewe wazungu sasa imekuaje hana flow nzuri kabisa n.k.

Hayo mengine nakuachieni maana sina la maana nilijualo, lakini mimi nakiri nimepata confidence ya hali ya juu mno ya kujizungumzia tu mbele za watu. Yaani nimemotishika vya kutosha kabisa na zile clips. seriously, ahsante sana mama Ndalichako!
Tanzania daraja la kwanza kabisa la upumbavu ni kuwa profesa. Kama profesa Lipumba.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilikuwa na tatizo kubwa la kuogopa kuongea Kiingereza mbele za watu sababu sijakijua vizuri na kwa bahati mbaya sana shughuli zangu zinanihitaji nifanye hivyo mara kwa mara......nilikuwa napata shida kwelikweli na kujisikia mnyonge.

Jana ni clip ya pili ya mama yangu Ndalichako naiona ikisambaa mitandaoni akiwa anazungumza kiingereza. Mengi yameongelewa kuhusu suala la Kiingereza kutokidhi haja tarajiwa ya daraja lake la kielimu (uprofesa) na mengine mengi ikiwemo waliojiuliza kuwa mama amesoma zamani na kipindi hicho ndicho watabe wa lugha walikuwepo kutokana na wengi wao kufundishwa na wenyewe wazungu sasa imekuaje hana flow nzuri kabisa n.k.

Hayo mengine nakuachieni maana sina la maana nilijualo, lakini mimi nakiri nimepata confidence ya hali ya juu mno ya kujizungumzia tu mbele za watu. Yaani nimemotishika vya kutosha kabisa na zile clips. seriously, ahsante sana mama Ndalichako!
Jitahidi kuongea ongea utajiondoa kwenye kundi la waoga na wanyonge wa kuongea kizungu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa iyo unafurahia ujinga, mm wakat nasoma form 2 tulikuwa tunavalishwa bango la speak english, sasa kwa prof kushindwa ku floo english si maajabu tu bali ni maajabu makubwa, et yu wili slip insaidi, nammiss sana jk yule jamaa ni mjanja mjnja lkn yupo vizur sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Utawala huu kila mtu akigonga yai linatoka vizaaa. Daaah sijui kwa nn

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo wabongo wengi wanajua kujua kiingilishi ndo kuelimika! Kuna watu swala la kushika lugha hilo linasumbua ,wengine wanauwezo wa kushika lugha hata tano!.. binafsi kuzungumza hiyo lugha mbele ya kadamnasi ni jaribio la kutaka kunizimisha!! Ila leta karamu na karatasi niandike nilichoshindwa kukizungumza mbele ya kadamnasi hutojuta!.
Sisi ndo ambao tukiwa nyuma ya darasa kelele Kama zote! Leta debate niweke mbele ya darasa nizungumze utajuta.. kwanza natafuta kitu cha kushika walau nipate ahueni maana hapo natetemeka Kama mwendawazimu nikikosa Cha kushika sasa hapo jiandaeni kucheka tu maana debate itageuka kuwa kituo kutetemeka!!
Kiingeleza cha karatasi uliniinua Sana essay zilinikoma ila cha kuongea mbele ya watu umenitesa sana ng'ombe wewe sitakusahau
Hahahahahahahaha imebidi nicheke tu maana umejieleza vizuri jinsi is and was zinavyokupiga chenga kuongea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ngoja nami nikumbushie ka kiingereza kangu niliko jifunza hukooo nyum
Hello ladies and gentlemen I would like to know if professor ndalichako she refuse to flow this language as she has experience because she performance in British universal
The question is how she is spending there to communicate this language the way she speaks ?!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom