PreGE2025 Ahsante polisi kwa kumkamata Lissu

PreGE2025 Ahsante polisi kwa kumkamata Lissu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
Hii clip natamani izunguke nchi nzima ndo wananchi,wataelewa kama kura yao ina thamani au ni rubber stamp.
 
Na asije akajivimbisha huko rumande ati yeye ni Mwenyekiti wa chama na hivyo anataka kula chakula cha Nyumbani.

☝🏿Nasisitizia kwa mfyonyo wa kikuria

Ale Ugali na Maharage kama mahabusu wengine tu

Hongera sana Polisi.
 
Na asije akajivimbisha huko rumande ati yeye ni Mwenyekiti wa chama na hivyo anataka kula chakula cha Nyumbani.

☝🏿Nasisitizia kwa mfyonyo wa kikuria

Ale Ugali na Maharage kama mahabusu wengine tu

Hongera sana Polisi.
Kumbe hujawahi kwenda lumande,
wanaopata shida kwa kawaida ni ninyi watu wa chini.
 
Je,ni kweli kasambaza uongo na uhaini?
na hapo ndipo mijadala inapoibuka.
Kuna video yake humu jf ukisikiliza with neutral ground, kuna ukakasi flani , na hiyo imeenda! Kesi yake ni kubwa mno hadi iishe uchaguzi utakuwa ni historia!
 
Salaam wakuu,

Nimetafakari sana na kuona tangu kundi la G55 kuibuka ndani ya chadema, mijadala mingi ilianza kuhoji uwepo wa jambo hili ndani ya CHADEMA,

Sasa tangu kukamatwa kwa TAL upepo umegeuka,kila sehemu ni hoja na maswali ya kwanini
Lissu amekamatwa na jibu wanalopewa ni kuanzishwa kwa ''NO REFORMS,NO ELECTION''

Kwa hiyo slogan hii inasambaa kwa kasi nchi nzima kuliko asingekamatwa.
Lissu kalilia uwembe
 
Kuna video yake humu jf ukisikiliza with neutral ground, kuna ukakasi flani , na hiyo imeenda! Kesi yake ni kubwa mno hadi iishe uchaguzi utakuwa ni historia!
Ukakasi wa kitu unategemea na ulimi wa anayeonja.
Neutral ground ipi,kwani nani asiyeona kinachofanyika?

Kama wewe ni mfuatiliaji mzuri wa clip za Lisu,umeiona ile ya polisi,nape na mkuu wa wilaya
wanavyoongea kuhusu uchaguzi?
Nami nauliza kama lisu,kwa mazingira hayo tunaenda kwenye uchaguzi ili iweje?
Tusihangaike kushika mitutu ya bunduki ili ccm ishinde,ni bora vyama vya upinzani vifutwe,tuwe tunampigia kura mgombea mmoja na upande wa pili ashindanishwe na giza,tusiharibu kodi zetu
 
Lissu kalilia uwembe
Amepewa,usisahau methali inayosema ''mchelea mwana kulia,hulia yeye''
mwanao akililia wembe ukampatia,ujue wewe ndo utaingia gharama ya kumpeleka hospitali.
 
Back
Top Bottom