uchumi2018
JF-Expert Member
- Mar 4, 2018
- 2,087
- 2,994
Salaam wakuu,
Nimetafakari sana na kuona tangu kundi la G55 kuibuka ndani ya chadema, mijadala mingi ilianza kuhoji uwepo wa jambo hili ndani ya CHADEMA,
Sasa tangu kukamatwa kwa TAL upepo umegeuka,kila sehemu ni hoja na maswali ya kwanini
Lissu amekamatwa na jibu wanalopewa ni kuanzishwa kwa ''NO REFORMS,NO ELECTION''
Kwa hiyo slogan hii inasambaa kwa kasi nchi nzima kuliko asingekamatwa.
Nimetafakari sana na kuona tangu kundi la G55 kuibuka ndani ya chadema, mijadala mingi ilianza kuhoji uwepo wa jambo hili ndani ya CHADEMA,
Sasa tangu kukamatwa kwa TAL upepo umegeuka,kila sehemu ni hoja na maswali ya kwanini
Lissu amekamatwa na jibu wanalopewa ni kuanzishwa kwa ''NO REFORMS,NO ELECTION''
Kwa hiyo slogan hii inasambaa kwa kasi nchi nzima kuliko asingekamatwa.