Ahsante mungu nimepata mkopo wa HESLB batch2

Ahsante mungu nimepata mkopo wa HESLB batch2

Dah! Ahsante yesu jna language limeonekana kwnye list! Japo sijajua nmepewa kias gani, bt hata kama nmepewa boom tu, Namshukuru sana Mungu kwa hilo! Asante Mungu!
 
Xaiv matumaini ya kwenda SUA yanaanza kurudi! Wale was SUA, mnichek kwa 0743746646 au kna group la whatsap mmoja aniunganishe au tutengeneze jpya!
 
Ahsante sana wanajf kwa kunifariji kipindi chote ambacho nilikuwa nawaza kukosa mkopo baada ya chet cha kuzaliwa kutopeleka RITA hatimaye nimepata na ndoto zangu za kusoma udsm zmetimiaaaaaaa
karibu binam UDSM m ndo namalizia ka asilimia 100 kangu mwakan wa 6
 
karibu binam UDSM m ndo namalizia ka asilimia 100 kangu mwakan wa 6
Jiandae kujua nini maana ya mithali hii: "kukopa arusi kulipa matanga"
Wale waliokopa TSSF, retention charges ni 6% kwa mwaka! Usiporejesha riba ni 18% kwa mwaka! Tutegemee baada ya miaka 3 watu wataanza kuuziwa properties zao!
 
Np ukitaka kuangalia wamekupa aslimia ngap unafanyeje maaana naona kama inazingua webu yao
 
Np ukitaka kuangalia wamekupa aslimia ngap unafanyeje maaana naona kama inazingua webu yao
Unachkua kiasi cha tuition fees ulichopewa na heslb alaf unagawanya kwa ada ya chuo husika kisha unazidisha kwa 100% ndo unapata asilimia ya mkopo uliopewa.
 
Hongera sana dogo, imebaki kazi moja tu ya kutafuta demu wa kula nae hilo boom.
 
Hongera Sana mkuu .Nenda ukasome sasa maana mkifikaga pale chuo mnaanza kula bata halafu mnaambulia misup na hatimaye disco.
 
  • Thanks
Reactions: OKC
Back
Top Bottom