Ahsante Halima Mdee...

Status
Not open for further replies.

Kuna tatizo lipi katika hii post yangu? likakupelekea kusema yote hayo?


Isitoshe, humtendei haki Mchungaji Martin Luther King bila kuweka tite yake, si unaijuwa? au?
 
Hii imetulia big up jembe.IPO SIKU TUTAFIKA NCHI YA AHADI.

Huku?

Ikumbukwe kuwa mafundisho ya Kikristo yanasema "Safari ya wana wa Israeli toka Misri hadi katika nchi ya ahadi, tunaweza kuifananisha na maisha ya kiroho ya kanisa, au tuseme maisha ya kikristo."
Source:
http://www.mwakasege.org/mafundisho/mtendaji/mtendaji-2.htm
 
Kenge asiyetaga ni kenge senge. Unajua hilo??
 
big up halima hurreeeey chadema umeongea na tumekusikia kabisa tena kwa makini halima you are a hero hawa magamba waseme tuu lakini tutawafundisha tuu wakitugesi gesi kwenye ardhi yetu na hawa wawekezaji

Una uhakika na unayosema? au Halima alikuwa akifikisha ujumbe mkubwa zaidi kwa Slaa?
 
basics zinapinda....
 
Zomba Leo vipi naona bado unakomaa na thread yako iliyojaa udini huendi kwenye vijiwe vya gahawa?

Sisi huwa tupo Barzani sio kijiweni, kijiwe ni cha bangi na unga.
 


Ulidhani umeweka jungu kubwa kweli mwenyewe hapo...Halima amezungumza kwenye context ya mapambano anayoyaongoza Dr. Slaa vs polisisiem ndugu yangu
 
ARV hizo, sasa nyie na jamaa zenu wanaokurupuka na kuchukuwa mijanajike ya watu ndio muelewe hiyo.

tupo wengi kweli aisee

sijui kama mtapona aisee, cheni imerefuka mno na inakaribia kujifunga....

shebby
 

Attachments

  • chadomo.jpg
    33.8 KB · Views: 22
tupo wengi kweli aisee

sijui kama mtapona aisee, cheni imerefuka mno na inakaribia kujifunga....

shebby

Naona uzi umekugusa pazuri mpaka unajaribu kila njia kuuchakachuwa.

"tutaifikia Nchi ya Ahadi!" - Halima Mdee Bungeni 11-07-2012
 
ukitaka akuchukue wewe?

"Safari ya wana wa Israeli toka Misri hadi katika nchi ya ahadi, tunaweza kuifananisha na maisha ya kiroho ya kanisa, au tuseme maisha ya kikristo."
Source:
http://www.mwakasege.org/mafundisho/mtendaji/mtendaji-2.htm
 
ZOMBA BORA UKAFANYE KAZ KWA MZUNGU YA KUTOA MBWA NJE KULIKO KULETA UNAFIKI WA KUSAMBAZA UZUSH hapa hebu kajipatie haraka hiyo kaz maana itakufaa c o kufanya udin udin kama wale mashekhe ubwabwa wa zenj UZUSHI WA CCM KAMPENI ZA 2010 MASARIA YAKE YAMEBAKI KWA ZOMBA. AAaaaaameeen!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…