Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Gairo kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Ahmed Shabiby ameaminiwa tena na chama chake kupeperusha bendera kwenye mbio za ubunge wa jimbo hilo kwa mwaka 2025-2030.
Akitangaza majina ya waliyoteuliwa kugombea ubunge katika Mkoa wa Morogoro kupitia CCM, aliyekuwa Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi, Amos Gabriel Makala alisema CCM imemteua Shabiby kushindana na wagombea wengine wa vyama vya upinzani.
Katika kura za maoni mwaka huu, mheshimiwa Shabiby alishinda kwa kupata kura nyingi.
Itakumbukwa katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2020, mheshimiwa Shabiby alikosa mpinzani kwenye jimbo hilo na hivyo alipita bila kupingwa.
Akitangaza majina ya waliyoteuliwa kugombea ubunge katika Mkoa wa Morogoro kupitia CCM, aliyekuwa Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi, Amos Gabriel Makala alisema CCM imemteua Shabiby kushindana na wagombea wengine wa vyama vya upinzani.
Katika kura za maoni mwaka huu, mheshimiwa Shabiby alishinda kwa kupata kura nyingi.
Itakumbukwa katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2020, mheshimiwa Shabiby alikosa mpinzani kwenye jimbo hilo na hivyo alipita bila kupingwa.