kinepi_nepi
JF-Expert Member
- Aug 16, 2007
- 869
- 236
Ahadi za mwana ccm
Rushwa sio adui wa haki nitatoa rushwa na nitapokea rushwa.
Kazi sio msingi wa maendeleo kwani wafanyakazi wengi ni masikini . Ufisadi na wizi wa mali za uma ndio msingi mkuu wa maendeleo.
Nitalinda na kutetea mafisadi wote kwa nguvu zangu zote.
Nitasema uongo daima , na fitina ndio msingi wa maisha.
Hakuna usawa na wananchi ila na mafisadi.
Chuki na ulaghai ndio misingi mikuu ya chama.
Mwongo ataenziwa na msema kweli ni adui wa chama.
Binadamu wote sio sawa mpaka awe fisadi na mwizi wa mali ya uuma.
Kazi ya raisi ni kulinda hizi ahadi kwa nguvu zake zote
Ahadi za mwana ccm
Rushwa sio adui wa haki nitatoa rushwa na nitapokea rushwa.
Kazi sio msingi wa maendeleo kwani wafanyakazi wengi ni masikini . Ufisadi na wizi wa mali za uma ndio msingi mkuu wa maendeleo.
Nitalinda na kutetea mafisadi wote kwa nguvu zangu zote.
Nitasema uongo daima , na fitina ndio msingi wa maisha.
Hakuna usawa na wananchi ila na mafisadi.
Chuki na ulaghai ndio misingi mikuu ya chama.
Mwongo ataenziwa na msema kweli ni adui wa chama.
Binadamu wote sio sawa mpaka awe fisadi na mwizi wa mali ya uuma.
Kazi ya raisi ni kulinda hizi ahadi kwa nguvu zake zote
Ahadi za mwana ccm
Rushwa sio adui wa haki nitatoa rushwa na nitapokea rushwa.
Kazi sio msingi wa maendeleo kwani wafanyakazi wengi ni masikini . Ufisadi na wizi wa mali za uma ndio msingi mkuu wa maendeleo.
Nitalinda na kutetea mafisadi wote kwa nguvu zangu zote.
Nitasema uongo daima , na fitina ndio msingi wa maisha.
Hakuna usawa na wananchi ila na mafisadi.
Chuki na ulaghai ndio misingi mikuu ya chama.
Mwongo ataenziwa na msema kweli ni adui wa chama.
Binadamu wote sio sawa mpaka awe fisadi na mwizi wa mali ya uuma.
Kazi ya raisi ni kulinda hizi ahadi kwa nguvu zake zote
AHADI ZA WANACHAMA WA CHAMA CHA MAPINDUZI
(1) Binadamu wote ni ndugu zangu na Afrika ni moja
(2) Nitaitumikia nchi yangu na watu wake wote
(3) Nitajitolea nafsi yangu kuondosha umaskini, ujinga, magonjwa na dhuluma.
(4) Rushwa ni adui wa haki, sitapokea wala kutoa rushwa.
(5) Cheo ni dhamana, sitatumia cheo changu wala cha mtu mwingine kwa faida yangu.
(6) Nitajielimisha kwa kadri ya uwezo wangu na kuitumia elimu yangu kwa faida ya wote.
(7) Nitashirikiana na wenzangu wote kujenga nchi yetu.
(8) Nitasema kweli daima, fitina kwangu mwiko.
(9) Nitakuwa mwanachama mwaminifu wa CCM na raia mwema wa Tanzania na Afrika.
Mkuu Kinepinepi,
Heshima mbele mkuu, hizi unazoleta ni siasa za kitoto sio watu wazima kama tunavyojulikana na taifa, mimi ni mwanachama wa CCM na sikumbuki hizi ahadi zako kuwepo kwenye chama changu, sio Chadema wote akili zao ni kama Wangwe,
so is CCM sio sisi wanachama wote ni mafisadi, tuna viongozi wachache ambao siku zao zinakaribia kufika mwisho, tafadhali jaribu kuheshimu hilo ili na wewe uheshimiwe japo kidogo.
Ahsante Mkuu
Hapana mkuu bado nitakujibu kistaarabu kuwa hizo sio nguzo za CCM, ila ni nguzo za baadhi ya viongozi wachache, kwa sababu kama hizo ndizo nguzo CCm haikujiweka mdarakani, sisi wote wananchi tumewachagua tena for the past 45 years, sasa labda hizi unazozisema ni nguzo ambazo sisi wananchi wote tuliowachagua tunazikubali ndio maana tuliwachagua,
naona unajaribu kukimbia kivuli chako mwenyewe na maneno ya urithi off course ndio urithi tulioachiwa na Mwalimu, yaani hii CCM, na tuliowachagua CCM fopr the last 45 years ni nani mkuu kama sio mimi na wewe?