Pendekezo langu: Tupitishe sheria yakua ukitaka kugombea uongozi ngazi za juu sharti uwe na kampuni zako kiufupi uwe tajiri

mr pipa

JF-Expert Member
Jul 26, 2021
2,331
4,857
Viongozi wengi wa africa mnakula rushwa na kujilimbizia mali na mataifa yenu hayapigi hatua, kutokana mnaingia madalakani huku mkiwa maskini, matokeo yake mnaacha kuendeleza nchi zenu na kuwapa wananchi unafuu, mnajikuta mnakuwa mafisadi mnajilimbikizia mali, yote haya ni umaskini wa huko mlikotoka.

mnafika hatua mnarithi shana hadi vyeo ilimladi mtafuno uwe endelevu, ila mimi naamini uongozi akichukua mtu kama bakhresa hatokuwa na ulimbukeni huo kutokana hata ona jipya, ila nyie wenzangu mliotokea kwenye umaskini mna ulimbukeni, sana wa madaraka na mali, ndio maana mnawaza miradi ya upigaji na madili dili ili mjilimbikizie mali,

Kwahiyo sasa ifike kigezo cha kugombea kiwe ni utajiri au umiliki wa uchumi binafsi, degree na stashahada za udokta zibaki kama kuendesha baiskeli ni lazima tu ujue ili tuwe na taifa lenye maono.

Sio kiongozi huna hata practical yoyote upo upo tu umetoka tu shule umejikomba, ukapata uteuguzi tayari diwani, tayari mbunge tayari waziri unazani utakuwa na mchango gani?
 
Viongozi wengi wa africa mnakula rushwa na taifa halipigi hatua kutokana mnaingia madalakani huku mkiwa maskini, matokeo yake mnaacha kuendeleza nchi na kuwapa wananchi unafuu mnajikuta mnakuwa mafisadi mnajilimbikizia mali wote ni umaskini wa huko mliko toka, basi mnakuta mnarithishana hadi vyeo ilimladi mtafuno uwe endelevu ila uongozi achukue mtu kama bakhresa hatokuwa na ulimbukeni huo kutokana hatoona jipya kwa sababu atakuwa na akili ya kimaendeleo na kukuza zaidi ila nyie wenzangu mliotokea kwenye umaskin mnaulimbukeni sana wa mali ndio mana nawaza miradi ya upigaji na rushwa rushwa ili mjilimbikizie mali kwahiyo kigezo cha kugombea kiwe ni utajir degree na stashahada za udokta zibaki kama kuendesha baiskeli ni lazima tu ujue ili tuwe na taifa lenye maono sio kiongoz huna hata placticali yoyote upo upo tu umetoka tu shule umejikomba umepata uteuguzi tayar diwani, tayar mbunge tayari waziri hapana hili taifa halitasonga
Umekosea pawe na reseni ya kuwa mwanasiasa sh milioni 8 kwa kila awamu ya uchaguzi mkuu 5yrs pia wanasiasa wasiruhusiwe kupige kura ya uchaguzi mkuu wowote hivyo kupunguza mrundikano wa watu kuwa wanasiasa for nothing. Pia kutafanya vyama visijaze watu hovyo kwenye siasa for nothing
 
Viongozi wengi wa africa mnakula rushwa na taifa halipigi hatua kutokana mnaingia madalakani huku mkiwa maskini, matokeo yake mnaacha kuendeleza nchi na kuwapa wananchi unafuu mnajikuta mnakuwa mafisadi mnajilimbikizia mali wote ni umaskini wa huko mlikotoka.

Basi mnakuta mnarithishana hadi vyeo ilimladi mtafuno uwe endelevu ila uongozi achukue mtu kama bakhresa hatokuwa na ulimbukeni huo kutokana hatoona jipya kwa sababu atakuwa na akili ya kimaendeleo na kukuza zaidi ila nyie wenzangu mliotokea kwenye umaskini mnaulimbukeni sana wa mali ndio maana nawaza miradi ya upigaji na rushwa rushwa ili mjilimbikizie mali.

Kwahiyo kigezo cha kugombea kiwe ni utajiri degree na stashahada za udokta zibaki kama kuendesha baiskeli ni lazima tu ujue ili tuwe na taifa lenye maono.

Sio kiongozi huna hata placticali yoyote upo upo tu umetoka tu shule umejikomba umepata uteuguzi tayari diwani, tayari mbunge tayari waziri hapana hili taifa halitasonga
sasa wakishakuwa matajiri watataka kugombea nafasi za uongozi ili wawe nini?
 
Viongozi wengi wa africa mnakula rushwa na taifa halipigi hatua kutokana mnaingia madalakani huku mkiwa maskini, matokeo yake mnaacha kuendeleza nchi na kuwapa wananchi unafuu mnajikuta mnakuwa mafisadi mnajilimbikizia mali wote ni umaskini wa huko mlikotoka.

Sio kiongozi huna hata placticali yoyote upo upo tu umetoka tu shule umejikomba umepata uteuguzi tayari diwani, tayari mbunge tayari waziri hapana hili taifa halitasonga
Naunga mkono hoja,
Angalia mchango wangu kwenye hili

View: https://youtu.be/kpOuytUa4O4?si=TfRr0qXGosN0BJSa
P
 
Nchi ya wakulima na wafanyakazi,

Watu hao wametajirika lini Hadi uweke vigezo vya utajiri kuwa Rais wa Nchi?

Si Kila ukionacho Kwa Jirani ni kizuri, hujui amekipataje!!!
kwahiyo waendelee kujilimbikizia mali kisa wametoka kwenye ukulima
 
Umekosea pawe na reseni ya kuwa mwanasiasa sh milioni 8 kwa kila awamu ya uchaguzi mkuu 5yrs pia wanasiasa wasiruhusiwe kupige kura ya uchaguzi mkuu wowote hivyo kupunguza mrundikano wa watu kuwa wanasiasa for nothing ...pia kutafanya vyama visijaze watu hovyo kwenye siasa for nothing
ukisema hivyo watachangiana watapita tu leo hy hakuna asiejua haso za matajiri kuanzia ngazi za wilaya, mkoa, na hata taifa
 
Hakuna tajiri anaemjali maskini...
wanakujali ndio mana wanakutengenezea viberiti na maandazi ya mia mia wangekuwa hawakujali wasingefanya hayo au unataka wakujali kwa kukupa hela kuhusu kujitenga, na wewe maskin lazima wajitenge kwasababu ya kulinda brand unataka uwa wekee sumu
 
Nyerere hakuwa tajiri na pia hakufa tajiri
na ndio mana tuna taifa la hovyo we fuatilia enzi za nyerere ukiwa na gari anasa ndio tuna viongoz wa mtindo huu ndio mana hata bandarin kuna mautitiri ya kodi kisa viongoz wana maono mafupi
 
Viongozi wengi wa africa mnakula rushwa na kujilimbizia mali na mataifa yenu hayapigi hatua, kutokana mnaingia madalakani huku mkiwa maskini, matokeo yake mnaacha kuendeleza nchi zenu na kuwapa wananchi unafuu, mnajikuta mnakuwa mafisadi mnajilimbikizia mali, yote haya ni umaskini wa huko mlikotoka.

mnafika hatua mnarithi shana hadi vyeo ilimladi mtafuno uwe endelevu, ila mimi naamini uongozi akichukua mtu kama bakhresa hatokuwa na ulimbukeni huo kutokana hata ona jipya, ila nyie wenzangu mliotokea kwenye umaskini mna ulimbukeni, sana wa madaraka na mali, ndio maana mnawaza miradi ya upigaji na madili dili ili mjilimbikizie mali,

Kwahiyo sasa ifike kigezo cha kugombea kiwe ni utajiri au umiliki wa uchumi binafsi, degree na stashahada za udokta zibaki kama kuendesha baiskeli ni lazima tu ujue ili tuwe na taifa lenye maono.

Sio kiongozi huna hata practical yoyote upo upo tu umetoka tu shule umejikomba, ukapata uteuguzi tayari diwani, tayari mbunge tayari waziri unazani utakuwa na mchango gani?
Sijasoma content lakini utajiri siyo uongozi..Dawa ya wizi siyo kumpa mtu utajiri. Utajiri haimfanyi mtu aache wizi. Umezungumza tatizo vizuri lakini solution ndio umechanganya. Nafikiri kama familia tungekuwa na ajenda ya usiibe kwa watoto wetu ingesaidia sana. Tukibali tatizo tulilonalo ni la kwenye mfumo wa malezi. Jumapili njema
 
Kwa sasa hiv huwez kuwa Rais wa Tz Kama sio tajiri.

Huwez kutoka from nowhere ukawa Rais WA JMT.

Hao wakina Samia wana hela kweli kweli Ila Kwa vile ana cheo cha kisiasa huwez jua Kama ni tajiri.
hatuzungumzii utajiri wa kupata madarakani au kurithishwa tuna zungumzia utajiri ambao hata matajir wengine walikuwa nao kama kina abood, nk
 
Umekosea pawe na reseni ya kuwa mwanasiasa sh milioni 8 kwa kila awamu ya uchaguzi mkuu 5yrs pia wanasiasa wasiruhusiwe kupige kura ya uchaguzi mkuu wowote hivyo kupunguza mrundikano wa watu kuwa wanasiasa for nothing ...pia kutafanya vyama visijaze watu hovyo kwenye siasa for nothing
🤣 🤣 🤣
 
Umekosea pawe na reseni ya kuwa mwanasiasa sh milioni 8 kwa kila awamu ya uchaguzi mkuu 5yrs pia wanasiasa wasiruhusiwe kupige kura ya uchaguzi mkuu wowote hivyo kupunguza mrundikano wa watu kuwa wanasiasa for nothing ...pia kutafanya vyama visijaze watu hovyo kwenye siasa for nothing
Milioni 8 watafurika matajiri wa kariakooo mpaka machinga watagombea uraisi 8milions not a huge amount....
 
Hilo ni wazo mfu kwa nchi kama hii.
Wanaoliibia taifa hili almost ni mabilionea.
Bilionea hawezi kuona laki au milioni.
Kwakuwa kama mabilionea wengi watapata mpenyo nakuhakikishia hali itakuwa ngumu zaidi ya hapa, hata kamdambili utauziwa laki
 
Back
Top Bottom