Ahadi nyingine bwana !!!! Alimuradi tu!!!

mageuzi1992

JF-Expert Member
Apr 9, 2010
2,503
252

kauli hii aliwahi kuitoa mheshimiwa

mkinichagua nitaunganisha mikoa ya ruvuma na kigoma katika gridi ya taifa kabla ya 2010.jakaya kikwete ijumaa septemba 16,2005 uwanja wa lake tanganyika kigoma. '''''''''
 

kauli hii aliwahi kuitoa mheshimiwa

mkinichagua nitaunganisha mikoa ya ruvuma na kigoma katika gridi ya taifa kabla ya 2010.jakaya kikwete ijumaa septemba 16,2005 uwanja wa lake tanganyika kigoma. '''''''''

Namtetea katika hili. Hayakuwa maneno yake, ni kosa la wanaomwandikiaga vitu vya kusoma mbele za watu
 
Hata CCM inakiri kuwa ahadi alizozitoa JK katika chaguzi zote mbili hazitekelezeki!

Ushindi wa JK ulitokana na rushwa, wizi wa kura, vitisho kwa wananchi nk.
 

kauli hii aliwahi kuitoa mheshimiwa

mkinichagua nitaunganisha mikoa ya ruvuma na kigoma katika gridi ya taifa kabla ya 2010.jakaya kikwete ijumaa septemba 16,2005 uwanja wa lake tanganyika kigoma. '''''''''
hamkuelewa maana ya gridi

wakati ule ukimwi ulikua unaitwa gridi.... sasa jibu unalo:wacko:
 

kauli hii aliwahi kuitoa mheshimiwa

mkinichagua nitaunganisha mikoa ya ruvuma na kigoma katika gridi ya taifa kabla ya 2010.jakaya kikwete ijumaa septemba 16,2005 uwanja wa lake tanganyika kigoma. '''''''''

Ilikuwa ni saa 17:13...
Naikumbuka hii
 
Wananchi walikuwa hawajapiga vigelegele muda mrefu nini mheshimiwa akaamua awanyanyue?
 
Namtetea katika hili. Hayakuwa maneno yake, ni kosa la wanaomwandikiaga vitu vya kusoma mbele za watu
Kwa kudhani unamtetea angalia umemuongezea na kosa jingine. UZEMBE. (kuwa ni mjinga, sio mtu makini kwa hiyo mwisho wa siku anakuwa mtu wa makosa++)
 
Machinga complex temeke na kinondoni,wakati ile ya ilala nssf wamekula hasara 10bn!mwaka 2015 mbali sana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…