mageuzi1992
JF-Expert Member
- Apr 9, 2010
- 2,503
- 252
kauli hii aliwahi kuitoa mheshimiwa
mkinichagua nitaunganisha mikoa ya ruvuma na kigoma katika gridi ya taifa kabla ya 2010.jakaya kikwete ijumaa septemba 16,2005 uwanja wa lake tanganyika kigoma. '''''''''
Kwani huwa hasomi hotuba kabla ya kuhutubia?Namtetea katika hili. Hayakuwa maneno yake, ni kosa la wanaomwandikiaga vitu vya kusoma mbele za watu
hata ccm inakiri kuwa ahadi alizozitoa jk katika chaguzi zote mbili hazitekelezeki!
ushindi wa jk ulitokana na rushwa, wizi wa kura, vitisho kwa wananchi nk.
Bila kusahau mahakama ya ustazi
hamkuelewa maana ya gridi
kauli hii aliwahi kuitoa mheshimiwa
mkinichagua nitaunganisha mikoa ya ruvuma na kigoma katika gridi ya taifa kabla ya 2010.jakaya kikwete ijumaa septemba 16,2005 uwanja wa lake tanganyika kigoma. '''''''''
kauli hii aliwahi kuitoa mheshimiwa
mkinichagua nitaunganisha mikoa ya ruvuma na kigoma katika gridi ya taifa kabla ya 2010.jakaya kikwete ijumaa septemba 16,2005 uwanja wa lake tanganyika kigoma. '''''''''
Kwa kudhani unamtetea angalia umemuongezea na kosa jingine. UZEMBE. (kuwa ni mjinga, sio mtu makini kwa hiyo mwisho wa siku anakuwa mtu wa makosa++)Namtetea katika hili. Hayakuwa maneno yake, ni kosa la wanaomwandikiaga vitu vya kusoma mbele za watu
nimekubali avator yako
Namtetea katika hili. Hayakuwa maneno yake, ni kosa la wanaomwandikiaga vitu vya kusoma mbele za watu
Gang Chomba kumbe upo !? Nilikuwa nakusalimia tu!Ilikuwa ni saa 17:13...
Naikumbuka hii
Amekukwaza kwa kuipenda avator yangu?mimi na wewe chadema, na sijawahi kukupinga hadharani, lakini kwa hili naomba nisiwe mnafiki . . UMENIKWAZA!