Ahadi hewa ya ajira

Ahadi hewa ya ajira

Dah nimekimbia kufungua hii thread nikidhan tayar wamesha tangaza ajira kumbe doooh. .!!!
 
Hello wadau wahanga wa ajira wenzagu,jana nikiwa
maskani nimetulia zangu nikiwaza kivipi siku itaenda
nikapigiwa simu na jamaa yangu ni mwl kwenye
primary school moja jirani na maskani, akanambia kuwa
watu wa Tamisemi na Wizara ya elimu wapo hapo ckul
wakifanya kazi zao, fasta fasta nikaenda na kujitosa
kibishi nikawavaa, nikawakuta wakifanya mahojiano na
mw/mkuu, baada ya interview nikafanikiwa kujua
baadhi ya maswali walomuuliza kama vile 1.idadi ya
pupil 2.idadi ya walimu 3.kama ana uhtaji wa
walimu...ktk ckul hiyo kulikuwa na ziada ya walimu 4
hivyo wamehamishwa shule nyingine kuziba pengo la
walimu, baada ya hapo nikamfata jamaa mmoja kuhusu
msitakabali wetu tunaosubiri ajira, akaniuliza sector
gan? nikamwambia edcn..akanihakikishia kuwa ajira
zipo kiuhakika.. ila kutokana na zoezi wanalofanya
nisitegemee ajira kwa mda wa miezi miwili, akanambia
hata hivyo idadi inaweza pungua kidogo, kwa hyo baada
ya zoezi hilo ndo watapeleka ripoti ya ajira kiasi gani
zinatakiwa na katika maeneo yapi, pia akasisitiza kuwa
ndo mana mawaziri wanashindwa kutamka exactly
tyme kutokana na kazi zinazoendelea sasa,..basi
nikafikria kuwa kama ajira ni mwz wa 11 basi kuripoti
ni january cse december ni likizo...jamaa alikuwa
honesty sana tuliongea mengi kdogo na akaniachia na
namba..jamani ndo data nilizopata...Ahsanteni
(Copy and paste)
Hebu fikiria kama lengo ni kuajiri 70,000 je huoni ukisubiri hadi januari utakuwa umeokoa fedha nyingi sana? mf. kama mshahara wa mtumishi mmoja ni tshs 600,000 ,kwa watumishi 70,000 utakuwa umeokoa tshs 252,000,000,000/-.unaonaje?
 
Kwa masikitiko makubwa naomba ujumbe huu umfikie mkuu wangu wa kaya.kama 13/06/2016 ulisitisha ajira na baadaye 22/06/2016 uliahidi haitazidi miezi miwili.sasa nakukumbusha tunamalizia mwezi wa tatu toka uagize.JE KATIKA hili Huoni kama umetuumiza kisaikolojia na tumekosa taarifa muhimu maana ukimya umetawala kuanzia TAMISEMI hata kwako.nani atamfunga paka kengele.feeling pain with fake promise
tulia zinachapishwa pesa za kuwalipa usiwe na haraka tuliza akili tunza vizuri vyeti vyako na kwa taarifa tunavyoamia dodoma tunahakiki upya kwanza mana huku hewa walikua wengi kama ujuavyo wakati wa kuhama vingi vinaonekana havina thamani kuingia nyumba mpya kwa hiyo atuajiri tutapunguza
 
Wewe unayesema Tamisemi wanakusanya taarifa za waalimu waliopo inatakiwa ujiulize kwenye UHAKIKI HEWA walikuwa wanataka nini
 
Msema kweli mpenzi wa mungu,ni bora waseme ukweli kuliko danadana zczoisha,ili watu wajpange wasiogope kwani ajira c io uhai kwanba watu watapoteza maisha,kuliko hv kusubiri pas ya uelekeo,wananunua ndege kwa gharama kubwa wanashindwa kutoa ajira kwa waauguzi,walimu na kada nyingine sa hiyo ndege c itatusaidia kweli wa tabka la chini au wanajimegea wenyewe,kungekuwa na njia mbadala tungemrudisha jk maana aliangalia tbk la chini ,kuliko huyu matako mengi hewa,ukusanyaji kodi mkubwa hatuoni msaada wake,na bdo anataka kubadilisha noti je hizo process anazfanya kwa pesa ipi
Matako mengi hewa?, unamanisha kichwa chake kimekaaje?
 
Hii serikali kila siku sijui tumeokoa sh ngapi toka kwa hao watumishi hewa elfu 16 ila haisemi ni sh ngapi imeokoa toka kwenye ajira elfu 71 walizozisitishwa toka mwezi 6 zilipopaswa kuwa zimetoka mpaka sasa
 
Mliokaribu na Rais mwambieni kama yeye alivyo na mwili wenye nyama ambao huhisi njaa,huwa na hasira,chuki n.k nasi Tunateseka na njaa,tuna hasira na unatupanda chuki dhidi ya serikali yako kwa kututesa,kutunyanyasa na kutudhalilisha kisaikolojia ruhusu ajira kwa wahitimu labda tutapata faraja ya moyo
 
Ata kama zitachelewa zitatoka mwaka kikubwa ni kwamba atatoa ajira tu hawez kuchaa kutoa kabisa..tuvumilie
 
Mliokaribu na Rais mwambieni kama yeye alivyo na mwili wenye nyama ambao huhisi njaa,huwa na hasira,chuki n.k nasi Tunateseka na njaa,tuna hasira na unatupanda chuki dhidi ya serikali yako kwa kututesa,kutunyanyasa na kutudhalilisha kisaikolojia ruhusu ajira kwa wahitimu labda tutapata faraja ya moyo
 
Kwa masikitiko makubwa naomba ujumbe huu umfikie mkuu wangu wa kaya.kama 13/06/2016 ulisitisha ajira na baadaye 22/06/2016 uliahidi haitazidi miezi miwili.sasa nakukumbusha tunamalizia mwezi wa tatu toka uagize.JE KATIKA hili Huoni kama umetuumiza kisaikolojia na tumekosa taarifa muhimu maana ukimya umetawala kuanzia TAMISEMI hata kwako.nani atamfunga paka kengele.feeling pain with fake promise
Mtaishi kama mashetani(tutaishi) huyu rais wananchi wakiumia au kulia lia yeye ndio anafurahi
 
Hello wadau wahanga wa ajira wenzagu,jana nikiwa
maskani nimetulia zangu nikiwaza kivipi siku itaenda
nikapigiwa simu na jamaa yangu ni mwl kwenye
primary school moja jirani na maskani, akanambia kuwa
watu wa Tamisemi na Wizara ya elimu wapo hapo ckul
wakifanya kazi zao, fasta fasta nikaenda na kujitosa
kibishi nikawavaa, nikawakuta wakifanya mahojiano na
mw/mkuu, baada ya interview nikafanikiwa kujua
baadhi ya maswali walomuuliza kama vile 1.idadi ya
pupil 2.idadi ya walimu 3.kama ana uhtaji wa
walimu...ktk ckul hiyo kulikuwa na ziada ya walimu 4
hivyo wamehamishwa shule nyingine kuziba pengo la
walimu, baada ya hapo nikamfata jamaa mmoja kuhusu
msitakabali wetu tunaosubiri ajira, akaniuliza sector
gan? nikamwambia edcn..akanihakikishia kuwa ajira
zipo kiuhakika.. ila kutokana na zoezi wanalofanya
nisitegemee ajira kwa mda wa miezi miwili, akanambia
hata hivyo idadi inaweza pungua kidogo, kwa hyo baada
ya zoezi hilo ndo watapeleka ripoti ya ajira kiasi gani
zinatakiwa na katika maeneo yapi, pia akasisitiza kuwa
ndo mana mawaziri wanashindwa kutamka exactly
tyme kutokana na kazi zinazoendelea sasa,..basi
nikafikria kuwa kama ajira ni mwz wa 11 basi kuripoti
ni january cse december ni likizo...jamaa alikuwa
honesty sana tuliongea mengi kdogo na akaniachia na
namba..jamani ndo data nilizopata...Ahsanteni
(Copy and paste)
Naona walimu mnafarijiana huko kwenye magrupu yenu ya watsapp...ila anayekua ajira ni lini ni Magufuli tu..
 
tumepewa Adhabu ya kutoajiliwa kisa watumishi hewa wao wangetuajili tu ila waendelee kuwatafuta watumishi hewa huko nyuma waliosababisha kwan nasisi tumekosa nn na pia wabadili mfumo wa ajira ili kupunguza hili wimbi la watumishi hewa maana limetucost wote na tusiokuwemo
 
tumepewa Adhabu ya kutoajiliwa kisa watumishi hewa wao wangetuajili tu ila waendelee kuwatafuta watumishi hewa huko nyuma waliosababisha kwan nasisi tumekosa nn na pia wabadili mfumo wa ajira ili kupunguza hili wimbi la watumishi hewa maana limetucost wote na tusiokuwemo
hujateswa na uwepo wa watumishi hewa, bali upungufu wa pesa! poleni kwa kuvumilia hizi futuhi za kila siku. wanakuambia wako wanakusanya data za uhitaji ktk vituo vya kazi, hivi kipindi wanaenda kukagua watumishi hewa, wasio na sifa na wenye vyeti feki. data wanazo ila pesa hakuna
 
hujateswa na uwepo wa watumishi hewa, bali upungufu wa pesa! poleni kwa kuvumilia hizi futuhi za kila siku. wanakuambia wako wanakusanya data za uhitaji ktk vituo vya kazi, hivi kipindi wanaenda kukagua watumishi hewa, wasio na sifa na wenye vyeti feki. data wanazo ila pesa hakuna
TRA kila mwezi wanavuka malengo mkuu hizi hela au ni za viwanda
 
Back
Top Bottom