Ahadi hewa ya ajira

Ahadi hewa ya ajira

Tuendelee kuwa na subira, maana ajira zitatoka hivi karibuni! Kama wanavyosisitiza Mawaziri wa Wizara husika!
 
Yuhu yuhu!!! Fuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu! Pumzi ndefu inaonyesha........!
 
Serikali hii siyo washatufanya mapoyoyo kila siku tutaajiri mwezi huu mwezi ujao.
 
Kwayooote respect ila kusitishwa Kwa AJIRA napata kigugumiz kusifu mazuri ya serikal hii kama vip wahusika wajtokez waonyeshe msimamo wao ili tuangalie plan'" Z'
 
Me nadhani fikra pevu ktk hili darasa huru ndizo zitawale zaid coz hali ya vijana sio nzuri mlundikano umejuwa mkubwa na utegemezi mpaka kwa watu wazima umezidi kushamili. Kikubwa nachofikiri tuipe muda serikali ndani ya wiki mbili zijazo then tuone wanasemaje na baada ya hapo sasa ndio tuje na mtazamo wa tunatoka vipi sasa.
 
Mkiajiriwa pesa za kutekelezea vipaombele ambavyo havipo kwenye bajeti zitatoka wapi?
Mfano kuhamia Dodoma nk sikusikia hilo jambo ktk bajeti.

"Wengi wenu mnajiuliza kwanini nimechelewa kutangaza baraza la mawaziri lakini kwa kuchelewa huko hamjui nimeokoa kiasi gani cha fedha."
 
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu. Na mimi nasema kweli kabisa.

Nawaomba sana mniombee.
 
Unataka uajiriwe wakati hakuna pesa ya kulipa mshahara wako?!!
 
Najaribu tu kuwaza kwa sauti, je kwa hali tunayoiona kiuchumi kutakuwa na uwezo wa kuajiri?? Unajua ili umwombe kitu mzazi hali yake tu itakuonyesha kama utakachomwomba anaweza kukusaidia
 
Bado тυnaғanya мcнaĸaтo wa ĸυтaғυтa wanaғυnzι нewa тυмeмalιza waғanyaĸazι нewa υѕιĸaтe тaмaa wew ĸυla ĸwa мaмa lala ĸwa мaмa тυтaĸυajιrι мcнaĸaтo υĸιĸaмιlιĸa
 
Back
Top Bottom