Hello wadau wahanga wa ajira wenzagu,jana nikiwa
maskani nimetulia zangu nikiwaza kivipi siku itaenda
nikapigiwa simu na jamaa yangu ni mwl kwenye
primary school moja jirani na maskani, akanambia kuwa
watu wa Tamisemi na Wizara ya elimu wapo hapo ckul
wakifanya kazi zao, fasta fasta nikaenda na kujitosa
kibishi nikawavaa, nikawakuta wakifanya mahojiano na
mw/mkuu, baada ya interview nikafanikiwa kujua
baadhi ya maswali walomuuliza kama vile 1.idadi ya
pupil 2.idadi ya walimu 3.kama ana uhtaji wa
walimu...ktk ckul hiyo kulikuwa na ziada ya walimu 4
hivyo wamehamishwa shule nyingine kuziba pengo la
walimu, baada ya hapo nikamfata jamaa mmoja kuhusu
msitakabali wetu tunaosubiri ajira, akaniuliza sector
gan? nikamwambia edcn..akanihakikishia kuwa ajira
zipo kiuhakika.. ila kutokana na zoezi wanalofanya
nisitegemee ajira kwa mda wa miezi miwili, akanambia
hata hivyo idadi inaweza pungua kidogo, kwa hyo baada
ya zoezi hilo ndo watapeleka ripoti ya ajira kiasi gani
zinatakiwa na katika maeneo yapi, pia akasisitiza kuwa
ndo mana mawaziri wanashindwa kutamka exactly
tyme kutokana na kazi zinazoendelea sasa,..basi
nikafikria kuwa kama ajira ni mwz wa 11 basi kuripoti
ni january cse december ni likizo...jamaa alikuwa
honesty sana tuliongea mengi kdogo na akaniachia na
namba..jamani ndo data nilizopata...Ahsanteni
(Copy and paste)