Mimi sio mtumishi ila kuna watumishi kama wawili nimeona wana Complain watu wa Karibu yangu
Andika basi kwa kiswahiliMkuu! Ukiamua kuajiriwa, lizika na unachopangiwa na bosi wako. Bosi hawezi kukulipa kiwango cha kukidhi mahitaji yako vinginevyo utaacha kumtumikia. Mwajiri na waajiri wote ulipa kiwango cha kumfanya mwajiriwa awe tegemezi ili kila siku uwaze bila yeye huwezi kuishi! Wanaojitambua wakipata mtaji husepa! Kalaghabao!
mimi ni mtumishi, nilikuwa nalipwa takehome ya Tsh. 1,550,000/=, ila mshahara wa mwezi huu nimeongezewa laki 3 na elfu 40, kwaiyo mshahara wa mwezi huu nimepokea Tsh. 1,890,000/= kama takehome.
Hii chai,iyo 340,000/= haijakatwa?[emoji23][emoji23][emoji1787]
sijakulazimisha uamini mkuu, nimeelezea uhalisia
Wee muongo! Yaani uongezewe 340,000 alafu nzimanzima iongezeke kwenye take home bila kukatwa kodi? Acha fix mbele ya watu wenye akili
Ss mleta uzi huu unatoa wapi maneno ya uongo zidi ya serikali? Mama piga kazi wenyewe watumishi wamesema kwa maneno na vitendo.mimi ni mtumishi, nilikuwa nalipwa takehome ya Tsh. 1,550,000/=, ila mshahara wa mwezi huu nimeongezewa laki 3 na elfu 40, kwaiyo mshahara wa mwezi huu nimepokea Tsh. 1,890,000/= kama takehome.
Case closed kwa hii comment tuUnatakiwa kwanza kuelewa kuwa annual salary increment ni ongezeko la mwaka la mshahara kulingana na kiwango chako cha mshahara kwa mwezi. Kama katika circular umeandikiwa annual increment yako ni tsh 40, 000 ina maana ikiisha miezi 12 juu ya msumari utaongezewa sh 40,000 kwenye mshahara wako.
Pili kama hujaongezewa ina maana tangu ajira yako au tangu kupanda daraja au tangu kupewa cheo kipya chenye mshahara mpya, hujatimiza miezi 12, kwa hiyo annual increment yako itakuwa effected mwezi July 2024. Nadhani wengi mnaolalamika humu ni vijana msiojua annual increments zinalipwaje! Haya nenda chapu kafanye kazi! Subiri hiyo mpaka 2024 kwa sababu kwanza umeandika kitu usichokijua kufikiria waliolipwa annual increment ni flat rate! Hata mimi ni mfanyakazi lakini najua annual increment inalipwaje! Kama ulimalizia vijihela vya wiki iliyopita kwenye kiti moto ukijua wiki hii kuna mshahara mpya wenye increment mlima basi utakuwa umekutana na moto mkali! Nenda kajipinde ofisini kama samaki wa kwenye senti tano!
Sijafika England lakini sina uhakika kama English ya namna hii inatumika kule [emoji2] [emoji2] [emoji2]The teachers you are in pressure keep do your work salary is not everything
Kingereza cha Mr Senga hikiSijafika England lakini sina uhakika kama English ya namna hii inatumika kule [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Nashauri mishahara ipunguzwe zaidi.Waongezewe kwa kazi IPi wanayoifanya? Ofisin kumejaa majungu na fitina tu
Wewe kabisa uliyekuwa ukimlalamikia baba yako kuuza nyumba yake, na kutumbua hela yote peke yake! Na pasipo kukupa hata 100 kama urithi! Au nimekufananisha?sijakulazimisha uamini mkuu, nimeelezea uhalisia
Vipi ulifanikiwa kushinda green card?mimi ni mtumishi, nilikuwa nalipwa takehome ya Tsh. 1,550,000/=, ila mshahara wa mwezi huu nimeongezewa laki 3 na elfu 40, kwaiyo mshahara wa mwezi huu nimepokea Tsh. 1,890,000/= kama takehome.
Unataka ushuhuda gani wa zaid?Subiri maticha waje watoe ushuhuda
tupo kwenye issue ya nyongeza ya mishahara, egemea kwenye mada mzee.
Aah,hapo lazima ucharuke nilijua tutupo kwenye issue ya nyongeza ya mishahara, egemea kwenye mada mzee.