Unatakiwa kwanza kuelewa kuwa annual salary increment ni ongezeko la mwaka la mshahara kulingana na kiwango chako cha mshahara kwa mwezi. Kama katika circular umeandikiwa annual increment yako ni tsh 40, 000 ina maana ikiisha miezi 12 juu ya msumari utaongezewa sh 40,000 kwenye mshahara wako.
Pili kama hujaongezewa ina maana tangu ajira yako au tangu kupanda daraja au tangu kupewa cheo kipya chenye mshahara mpya, hujatimiza miezi 12, kwa hiyo annual increment yako itakuwa effected mwezi July 2024. Nadhani wengi mnaolalamika humu ni vijana msiojua annual increments zinalipwaje! Haya nenda chapu kafanye kazi! Subiri hiyo mpaka 2024 kwa sababu kwanza umeandika kitu usichokijua kufikiria waliolipwa annual increment ni flat rate! Hata mimi ni mfanyakazi lakini najua annual increment inalipwaje! Kama ulimalizia vijihela vya wiki iliyopita kwenye kiti moto ukijua wiki hii kuna mshahara mpya wenye increment mlima basi utakuwa umekutana na moto mkali! Nenda kajipinde ofisini kama samaki wa kwenye senti tano!