Ahadi hewa kuhusu ongezeko la mishahara

Ahadi hewa kuhusu ongezeko la mishahara

Watchtower

Member
Joined
Sep 18, 2022
Posts
93
Reaction score
182
Wakuu,

Nimefikiria sana juu ya ndugu zetu watumishi kupewa Ahadi hewa huu ukiwa mwaka wa Pili kwenye Kila Mei Mosi bila utekelezaji. Kwa ufahamu wangu Kauli ya Rais ni sheria tayari. Je, hiki kinachoendelea dhidi ya Ongezeko la mishahara ni Hujuma juu ya Mkuu wa Nchi au ni nini?

Mana mwezi wa saba walisema walishindwa Kuongeza wanafanya reconciliation ila wata add up mwezi wa Nane tena ikiwa na areas za mwezi wa saba, sasa surprised ni kuwa kuna waliongezewa 4k na wengine hakuna Changes zozote, Ina maana watendaji wa chini wana mgombanisha Mkuu wa Nchi na watumishi wake au?

Kama hatuwezi kuongeza kwanini tusiache tu kutoa ahadi kwenye majukwaa au kuwa black and white kama enzi za Magu kuliko hizi ahadi ambazo hazitekelezeki?
 
Mkuu! Ukiamua kuajiriwa, lizika na unachopangiwa na bosi wako. Bosi hawezi kukulipa kiwango cha kukidhi mahitaji yako vinginevyo utaacha kumtumikia. Mwajiri na waajiri wote ulipa kiwango cha kumfanya mwajiriwa awe tegemezi ili kila siku uwaze bila yeye huwezi kuishi! Wanaojitambua wakipata mtaji husepa! Kalaghabao!
 
mimi ni mtumishi, nilikuwa nalipwa takehome ya Tsh. 1,550,000/=, ila mshahara wa mwezi huu nimeongezewa laki 3 na elfu 40, kwaiyo mshahara wa mwezi huu nimepokea Tsh. 1,890,000/= kama takehome.
Wee muongo! Yaani uongezewe 340,000 alafu nzimanzima iongezeke kwenye take home bila kukatwa kodi? Acha fix mbele ya watu wenye akili
 
Wakuu,

Nimefikiria sana juu ya ndugu zetu watumishi kupewa Ahadi hewa huu ukiwa mwaka wa Pili kwenye Kila Mei Mosi bila utekelezaji. Kwa ufahamu wangu Kauli ya Rais ni sheria tayari. Je, hiki kinachoendelea dhidi ya Ongezeko la mishahara ni Hujuma juu ya Mkuu wa Nchi au ni nini?

Mana mwezi wa saba walisema walishindwa Kuongeza wanafanya reconciliation ila wata add up mwezi wa Nane tena ikiwa na areas za mwezi wa saba, sasa surprised ni kuwa kuna waliongezewa 4k na wengine hakuna Changes zozote, Ina maana watendaji wa chini wana mgombanisha Mkuu wa Nchi na watumishi wake au?

Kama hatuwezi kuongeza kwanini tusiache tu kutoa ahadi kwenye majukwaa au kuwa black and white kama enzi za Magu kuliko hizi ahadi ambazo hazitekelezeki?
Kama hujaridhika njoo tubet huku .kilimo cha msimu wa kutegemea mvua ila soko serikali ndiyo inacontol ikiamua kufunga mipaka mtauza bei ya hasara na kulazimisha ufilisiwa pale boda.
 
Wakuu,

Nimefikiria sana juu ya ndugu zetu watumishi kupewa Ahadi hewa huu ukiwa mwaka wa Pili kwenye Kila Mei Mosi bila utekelezaji. Kwa ufahamu wangu Kauli ya Rais ni sheria tayari. Je, hiki kinachoendelea dhidi ya Ongezeko la mishahara ni Hujuma juu ya Mkuu wa Nchi au ni nini?

Mana mwezi wa saba walisema walishindwa Kuongeza wanafanya reconciliation ila wata add up mwezi wa Nane tena ikiwa na areas za mwezi wa saba, sasa surprised ni kuwa kuna waliongezewa 4k na wengine hakuna Changes zozote, Ina maana watendaji wa chini wana mgombanisha Mkuu wa Nchi na watumishi wake au?

Kama hatuwezi kuongeza kwanini tusiache tu kutoa ahadi kwenye majukwaa au kuwa black and white kama enzi za Magu kuliko hizi ahadi ambazo hazitekelezeki?

Unatakiwa kwanza kuelewa kuwa annual salary increment ni ongezeko la mwaka la mshahara kulingana na kiwango chako cha mshahara kwa mwezi. Kama katika circular umeandikiwa annual increment yako ni tsh 40, 000 ina maana ikiisha miezi 12 juu ya msumari utaongezewa sh 40,000 kwenye mshahara wako.
Pili kama hujaongezewa ina maana tangu ajira yako au tangu kupanda daraja au tangu kupewa cheo kipya chenye mshahara mpya, hujatimiza miezi 12, kwa hiyo annual increment yako itakuwa effected mwezi July 2024. Nadhani wengi mnaolalamika humu ni vijana msiojua annual increments zinalipwaje! Haya nenda chapu kafanye kazi! Subiri hiyo mpaka 2024 kwa sababu kwanza umeandika kitu usichokijua kufikiria waliolipwa annual increment ni flat rate! Hata mimi ni mfanyakazi lakini najua annual increment inalipwaje! Kama ulimalizia vijihela vya wiki iliyopita kwenye kiti moto ukijua wiki hii kuna mshahara mpya wenye increment mlima basi utakuwa umekutana na moto mkali! Nenda kajipinde ofisini kama samaki wa kwenye senti tano!
 
Back
Top Bottom