LOOOK
JF-Expert Member
- May 17, 2011
- 3,389
- 672
nimekuwa katika mahusiano ya tempo kwa miaka kadhaa kutokana na kuwa na mpenzi ambaye sikuwa na makubalino naye ya kuoana, sasa hivi karibun nimepata bintii ambaye tulipo anza mahusiano tulikubaliana kuja kuwa mume na mke kwan kabl ya hapo tulishakuwa tunafahamiana ingawa si katika mahusiano, lakin tatizo ambalo naliona kwa huyu binti ni kwamba ana "k" pana sana ambapo huwa inanifanya nichelewe sana kufika na hata yeye pia huwa anachelewa kufika na ili afike ni lazima anyoshe miguu kabisa ndo anafika sasa hii hali inanifanya nisienjoy game kwan yanibid nijizuie kufika haraka ili afike yeye kwanza, kwan nhisi nkiwahi mimi ndo kwanza ntamuacha njian,na kama mnavo jua round ya pili ndo huwa kunapwaya zaid, nomba msaada wenu wa ushauri nifanye nini? au nimuache?kwan hata jmaa aliye kuwa naye mwanzo alimuacha ingawa sijui km sbabu ndo hii ama la.