Agriculture Non-State Actors Forum(ANSAF):

Agriculture Non-State Actors Forum(ANSAF):

Kigoma Independent

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2017
Posts
3,520
Reaction score
2,059
Ni mtandao wa mashirika ,vikundi mwamvuli na makampuni yaliyoko kwenye sekta ya kilimo.Mtandao huu wa ANSAF ulianzishwa Tanzania mwaka 2006 kwa madhumuni makuu yafuatayo;
✓kufanya uchechemuzi kwa ajiri ya mazingira rafiki ya kisheria na kiutendaji yenye kuzingatia uhitaji wa jamii masikini na ushiriki wa asasi na makampuni ya siyo ya koserikali katika kuleta ushawishi,kuchambua Sera na utekelezaji wake,kufanya tafiti za kisheria na kupendekeza sera na utekelezaji mbadala.
✓kujenga jukwaa la kujifunzia na kubadilishana uzoefu kuhusu utendaji uliotukuka,na kuboresha ushirikiano miongoni mwa wadau hasa kwenye masuala nyeti katika sekta ya kilimo,
Jukwaa la kujifunza na kubadilishana uzoefu miongoni was wadau wa sekta ya kilimo huandaliwa na ANSAF Kila mwaka kwa maudhui tofauti.Tangu 2007 kumekuwepo na maudhui mbalimbali.Kwa mwaka 2010, wanachama wa ANSAF walipanga maudhui yawekewe msisitizo kwenye mnyororo wa thamani wenye tija Tanzania:uchocheaji wa soko la ndani, maudhui haya yalitokana na uzoefu wa wanachama, pamoja na utafiti wa mawasiliano a madam zilizo wasilishwa kwenye jukwaa la mwaka 2009.
Katika jukwaa la 2009,ilibainika kuwa uzalishaji unaofanywa na wakulima wadogowadogo hauzingatii upatikanaji wa soko;na msisitizo mkubwa na ushauri uliopo unasema 'zalisha kwanza Kisha tafuta soko badae'(you first to produce and then look for the market).Suala la mnyororo wa thamani no changamoto ambayo kwa jitihada binafsi wadau wamekuwa wakijaribu kukabiliana nayo.Hata hivyo Kuna mafanikio finyu miongoni mwa wadau na vilevile apajakuwepo na fursa za kutosha na jitihada za makusudi katika kushirikishana na kubadilishana uzoefu.ilibainika kuwa walengwa ,hususani wakulima na wasindikaji wadogo hawajahamasishwa vya kutosha kujikota kwenye mnyororo wa thamani.ko wadau mbalimbali mnaombwa kuweza kushiriki katika kuinua mnyororo wa thamani kupitia ANSAF.
"KILIMO NI UTI WA MGONGO WA MTANZANIA"KILIMO CHENYE TIJA.
 
Nimekuwa nikifuatilia video zao haswa youtube zinazohusu wakulima,nimekuwa nikipata hamasa kubwa kupitia video hizo.
Mimi pia ni mkulima mdogo nahitaji kulima kilimo cha kisasa cha kibiashara hivyo nahitaji sanaa ushauri na masoko kuhusu kilimo cha umwagiliaji na ndo nimeanza mwaka huu, je naweza kutembelewa na ANSAF au mko kwa ajili ya kanda ya kaskazini tuu!
 
Nimekuwa nikifuatilia video zao haswa youtube zinazohusu wakulima,nimekuwa nikipata hamasa kubwa kupitia video hizo.
Mimi pia ni mkulima mdogo nahitaji kulima kilimo cha kisasa cha kibiashara hivyo nahitaji sanaa ushauri na masoko kuhusu kilimo cha umwagiliaji na ndo nimeanza mwaka huu, je naweza kutembelewa na ANSAF au mko kwa ajili ya kanda ya kaskazini tuu!
ANSAF wanaweza kukutembelea,kwa sababu lengo lake kubwa ni kuongeza mnyororo wa thamani katika kilimo biashara na kuinua wigo wa masoko katika hayo mazao na pia Kuna mawasiliano.
 
ANSAF wanaweza kukutembelea,kwa sababu lengo lake kubwa ni kuongeza mnyororo wa thamani katika kilimo biashara na kuinua wigo wa masoko katika hayo mazao na pia Kuna mawasiliano.
ok ni habari njema kwangu. utaratibu ukoje maana me nipo dodoma ndio ninakofanyia shughili za kilimo
 
ANSAF wanaweza kukutembelea,kwa sababu lengo lake kubwa ni kuongeza mnyororo wa thamani katika kilimo biashara na kuinua wigo wa masoko katika hayo mazao na pia Kuna mawasiliano.
ok ni habari njema kwangu. utaratibu ukoje maana me nipo dodoma ndio ninakofanyia shughili za kilimo
 
Back
Top Bottom