Agri business (kilimo ni biashara)

fellyjr

Member
Joined
Aug 26, 2015
Posts
53
Reaction score
21
Agri Bisiness tunajishughulisha na vitu vifuatavyo
-tunatoa ushauri kuhusu kilimo
-tunaandaa bustani za kisasa (green houses )
-tunajenga mabanda ya kuku wa kisasa
-tunauza na kusupply mbegu bora
-tunauza vifaa vyote vya kilimo

Na kwa maswala yote yanayohusu kilimo. Wasiliana nasi kwa simu namba +255 682 526 217
 
Swali langu dogo tu
Mmesajiliwa na Serikali chini ya Idara ya Kilimo kama Mawakala au Washauri?Au mna work kama Agents ambao mpo chini ya mwavuli wa Agents wakubwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…